Kijuso
Senior Member
- Jun 23, 2009
- 161
- 8
Du ndugu yangu naona unataka kujitia kitanzi kabla ya wakati wako,hawa warangi hawafai kabisa si wanawake wala wanaume,nina rafiki yangu alioa mrangi, akaja mjomba wake kumtembelea jamaa kwenda kazini kumbe mjomba anakula uroda huku nyuma kila siku,siku ya siku bahati mbaya jamaa kurudi nyumbani mapema ,anakuta mjomba yuko juu anakula vitu ni noma.jamaa taraka hapo hapo