Kozi Gani ya afya inasoko mjini kufikia mwaka 2030

davyventure the great

Senior Member
Dec 2, 2023
131
184
Ndugu zangu Mimi na division 1 8 mwaka wa masome 2023/24 nilikosa chuo nampango wa kuapply mwakani je niaaply kozi gan za afya ambazo zitanisaidie katika maisha pia niapply vyuo gan ambavyo naweza kupata nafasi
 
1.8 unakosa chuo?Haukuwa serious kwenye application mdogo wangu
Course be what you want to be listen to yourself unataka kuwa nani kama huna huo uono hy 1.8 siyo yako umepewa na mtu mwingine
 
Kozi Gani ya afya inasoko mjini kufikia mwaka 2030 nilichaguliwa kujiunga na kozi ya bsc in bussiness information system nkapostpond chuo je nilifanya uchaguzi sahihi nilisoma PCB div 1.8
 
1.8 unakosa chuo?Haukuwa serious kwenye application mdogo wangu
Course be what you want to be listen to yourself unataka kuwa nani kama huna huo uono hy 1.8 siyo yako umepewa na mtu mwingine
Siyo hivyo bro nilihaso kikona ila shida nilikua jkt mlale 842 kj kwahyo nilimwachia mtu kunifanyia application but huyo jamaa alinifanyia maombi udom medicine na muhas ikashindikana yaan inakatisha tamaa asa kwa ss watoto wa wakulima ndo maana nimeomba ushauri
 
member: 707638"]Radiology[/QUOTE]

Radiology inatolewa muhas 2 au kunachuo Gani kingine au ndo phisiotherapy??
 
Nahitaji kujua nini kinatokea endapo kama uliomba mkopo heslb na ukapata af ukaunconferm adimissions ya chuo af ukaja kuapply mwakani detail zako zinakua kwenye mfumo au unafutika automatically
 
1.8 unakosa chuo?Haukuwa serious kwenye application mdogo wangu
Course be what you want to be listen to yourself unataka kuwa nani kama huna huo uono hy 1.8 siyo yako umepewa na mtu mwingine
Y'all should stop this judgmental stuff mnafanya.
Siku zote kutaka kuonekana smart kuliko watu wengine.
Roho chafu tu
 
Y'all should stop this judgmental stuff mnafanya.
Siku zote kutaka kuonekana smart kuliko watu wengine.
Roho chafu tu
Hoja yake ina Mashiko, napingana na mtazamo wako.
Hivi mtu upate 'Division One' ya 'Ponts 8' katika Matokeo ya Mtihani (NECTA) wa Kidato cha Sita, Je, unawezaje kukosa kudahiliwa Chuo Kikuu kwa matokeo mazuri kama hayo!!???? Tena ktk Kada/Kozi za Sayansi ya Afya ya binadamu??!!?? Is it possible in a real sense???
Mimi binafsi hainiingii akilini abadani, lazima tu kutakuwa na kitu ambacho hakiko sawa sawa kwa upande wake mleta hoja hii.
Mamshauri Mleta hoja aweke hapa Matokeo yake yote ya Mitihani yake ya NECTA ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita ili tuweze kumshauri vizuri zaidi.
Aidha, Mimi kama Mtafiti, kwa kutumia taaluma yangu ya utafiti kwa haraka haraka tu nimeshayabaini mambo fulani fulani kwa Mleta hoja na hata kwako wewe kuhusiana na hoja hii.
 
Hoja yake ina Mashiko, napingana na mtazamo wako.
Hivi mtu upate 'Division One' ya 'Ponts 8' katika Matokeo ya Mtihani (NECTA) wa Kidato cha Sita, Je, unawezaje kukosa kudahiliwa Chuo Kikuu kwa matokeo mazuri kama hayo!!???? Tena ktk Kada/Kozi za Sayansi ya Afya ya binadamu??!!?? Is it possible in a real sense???
Mimi binafsi hainiingii akilini abadani, lazima tu kutakuwa na kitu ambacho hakiko sawa sawa kwa upande wake mleta hoja hii.
Mamshauri Mleta hoja aweke hapa Matokeo yake yote ya Mitihani yake ya NECTA ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita ili tuweze kumshauri vizuri zaidi.
Aidha, Mimi kama Mtafiti, kwa kutumia taaluma yangu ya utafiti kwa haraka haraka tu nimeshayabaini mambo fulani fulani kwa Mleta hoja na hata kwako wewe kuhusiana na hoja hii.
ila hili taifa
Haya mtabiri.
 
ila hili taifa
Haya mtabiri.
Hahahaha nlisema vile kwasababu hawa vijana wetu wa sasa kuna vitu vya muhimu wanachukuli poa poa sana.nkupe mfano na kijana wangu alikua anafanya application ya mitihani ya lesen ya nursing wamepewa malekezo yote na kwenye website yapo anakuja kuniambia application iko rejected nkamwambia usiniletee ujinga fungua hy application nakuja kufatilia nagundua picha aloweka haina vigezo vilivyoainishwa asee nlitamani nimvunje miguu anyway vijana wanapaswa kua makini issue kama application ni risk kufanyiwa na mtu mwingine mwisho namtakia kila la kheri hajachelewa nafasi bado anayo
 
ahsante bro mda mwingne ntakua serious na mambo yangu kutokua serious kumenipotezea mda paka sasa nipo nyumbani Sema aliyenifanyia application ameniharibia maisha sana sjui ntarudi tena kwenye mfumo
 
Hahahaha nlisema vile kwasababu hawa vijana wetu wa sasa kuna vitu vya muhimu wanachukuli poa poa sana.nkupe mfano na kijana wangu alikua anafanya application ya mitihani ya lesen ya nursing wamepewa malekezo yote na kwenye website yapo anakuja kuniambia application iko rejected nkamwambia usiniletee ujinga fungua hy application nakuja kufatilia nagundua picha aloweka haina vigezo vilivyoainishwa asee nlitamani nimvunje miguu anyway vijana wanapaswa kua makini issue kama application ni risk kufanyiwa na mtu mwingine mwisho namtakia kila la kheri hajachelewa nafasi bado anayo
Sasa kijana wako ni mtoa mada?
 
ila hili taifa
Haya mtabiri.
Mimi nimepita kote huko ambako nyinyi sasa hivi mnapambana ili nanyi mpite, siyo suala la utabiri au unajimu kama unavyofikiri. Mnatakiwa kuwa serious wakati linapofika suala linalohusu maisha yako wewe mwenyewe binafsi. Unatakiwa uwe makini sana na serious kama vile "unapika chakula ambacho utakula wewe mwenyewe."
 
Back
Top Bottom