Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
huyo kakolea tu ila anajifanya kuja hapa kuuliza eti ashauriweKwanini hukuomba ushauri wakati unamtongoza au ulikuwa unatania sasa umeona huna option ya mwingine unaamua uoe???
umekaa nae uchumba au as lovers kwa mda gani?
mi siku hizi siangalii kabila...tatizo siyo kabila ni mtu mwenyewe...Kama mnapendana kwa dhati muoe bwana, hizo ni tabia tu ambazo kila mtu anaweza akawa nazo..............
huyo kakolea tu ila anajifanya kuja hapa kuuliza eti ashauriwe
chezea warangi wewe? Mungu kawajalia bana...Umeona eee
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
ulishawaonja weye? hawakukusumbua kuwapata? hebu funguka halafu mwagika kabisa tukusikilize hapa jamvini mkubwa!watam kinoma
wengine wanasema ni rahisi kuwapata halafu wewe unasema unawatafuta huwapati...nenda baharini kaoge maji ya chumvi..huenda huna bahati kwa mujibu wa waliowahi kuwatafuna...Hiyo kitu nilikuwa naitafuta balaa ila sijafanikiwa hongera bana
wengine wanasema ni rahisi kuwapata halafu wewe unasema unawatafuta huwapati...nenda baharini kaoge maji ya chumvi..huenda huna bahati kwa mujibu wa waliowahi kuwatafuna...Hiyo kitu nilikuwa naitafuta balaa ila sijafanikiwa hongera bana
Kwanini hukuomba ushauri wakati unamtongoza au ulikuwa unatania sasa umeona huna option ya mwingine unaamua uoe???
umekaa nae uchumba au as lovers kwa mda gani?
mh..kwa hiyo unashauri mtu asioe kabisa demu wa kirangi? hebu fafanua zaidi inakuwaje wanakuwa wepesi kukubali, wanataka/wanapenda sana hela?Dah
Mkuu mwanamke wa kirangi ukioa jua autakua peke yako..ipo ndani yao kutembea ovyo ovyo ..wazuriii na langi zao ila wepesi wakukubali ao
ina maana uliyekuwa umempata alikuwa kicheche? yaani alidhihirsha haya wanyowatuhumu hapa jamvini hawa mademu wa kirangi? heb fafanua tukuelewe kabisa...nitakuomba ufanye experiment mwenyewe
labda mie sikubahatika....:eyebrows: