Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,588
- 188,805
Habari.
Imani Yangu Wote Mnaendelea Vyema Na Majukumu Ya Kila Siku.
Turudi Kwenye Mada Hapo Juu Kuhusu Lifestyle Ya Mwanamke Ndio Itaamua Mwanamke Kuolewa Au Kutokuolewa.
Wanawake Wengi Wamekuwa Wahanga Wa Lifestyle Zao Hivyo Kukosa Wanaume Wa Kuwaoa, Na Kufikia Mahali Kuanza Kusema Ndoa Ni Bahati Au Hakuna Wanaume Wa Kuoa.
Ila Ukweli Ni Kwamba Lifestyle Yao Wanayoishi Imewaondoa Kwenye Sifa Za Kuwa Nafasi Ya Kuolewa.
Wanawake Ni Wengi Ila Lifestyle Yao Imewapunguza Kwenye Idadi Ya Wanawake Wanaostahili Kuolewa.
Umri Wa Miaka 20 - 26 Kwa Mwanamke Hapa Tunasema Mwanamke Anakuwa Katika Peak Na Inahitaji Umakini Sana Kwa Mwanamke Ili Usipite Bure Kama Ambavyo Wengine Imewapita.
Kutokana Na Wanawake Kuwa Katika Ubora Wao Kwenye Age Hiyo (20yrs - 26yrs) Wanawake Wamefanya Makosa Na Kuanza Kuishi Kitalii. Maadili Na Malezi Ya Kitanzania Yapo Wazi Kabisa Yameonyesha Namna Gani Mwanamke Uwe Na Stara Pamoja Na Heshima Kwenye Jamii.
Niwape Siri Ndogo Tu Wanawake, Mwanaume Utafuta Mwanamke Wa Kuoa Si Kwa Sababu Yake Mwenyewe Bali Utafuta Wanamke Wenyewe Maadili Na Stara Kwa Sababu Ya Watoto Wake Wawe Kwenye Mikono Salama Hata Kama Hatokuwepo.
Maana Kuacha Watoto Kwa Mwanamke Mpumbafu Ni Kupoteza Generation Zijazo Pamoja Na Ndoto Zao. Angalia Vyema Unavyoishi Kwenye Jamii Yako Usifate Sana Mkumbo.
Wengi Wamesombwa Na Wimbi La Maisha Walivyokuwa Wanaishi Vyuoni Wamepeleka Mtaani Na Hapo Ndio Kosa Kubwa Lilipoanzia.
Namna Ulivyokuwa Ukiishi Vyuoni Na Mtaa Ni Vitu Viwili Tofauti, Maana Umri Utakuwa Unasonga Wakati Ulitakiwa Kuwa Kwenye Track Nzuri.
Wanaanza Kutambua Na Kujutia Katika Age Ya Nenda Kwa Usalama (27yrs - 29yrs) Na Hapo Wanakuwa Wanatembea Kwenye Deadline.
Wakifika 30yrs Hapa Sasa Wanakuwa Desperate Na Kuanza Kukashifu Ndoa Na Wanaume, Kumbe Walikosea Wenyewe Kwenye Age Ambayo Walitakiwa Wafanye Maamuzi Sahihi Ila Wakafata Lifestyle Ambazo Zimeharibu Mipango Na Kuwaondolea Sifa Za Kuwa Mke.
Yote Kwa Yote Wanawake Wenye Age 20 - 27yrs Msifanye Makosa Waliofanya Makosa Waliowatangulia Mtakuja Kukumbuka Mkifika 30's.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Imani Yangu Wote Mnaendelea Vyema Na Majukumu Ya Kila Siku.
Turudi Kwenye Mada Hapo Juu Kuhusu Lifestyle Ya Mwanamke Ndio Itaamua Mwanamke Kuolewa Au Kutokuolewa.
Wanawake Wengi Wamekuwa Wahanga Wa Lifestyle Zao Hivyo Kukosa Wanaume Wa Kuwaoa, Na Kufikia Mahali Kuanza Kusema Ndoa Ni Bahati Au Hakuna Wanaume Wa Kuoa.
Ila Ukweli Ni Kwamba Lifestyle Yao Wanayoishi Imewaondoa Kwenye Sifa Za Kuwa Nafasi Ya Kuolewa.
Wanawake Ni Wengi Ila Lifestyle Yao Imewapunguza Kwenye Idadi Ya Wanawake Wanaostahili Kuolewa.
Umri Wa Miaka 20 - 26 Kwa Mwanamke Hapa Tunasema Mwanamke Anakuwa Katika Peak Na Inahitaji Umakini Sana Kwa Mwanamke Ili Usipite Bure Kama Ambavyo Wengine Imewapita.
Kutokana Na Wanawake Kuwa Katika Ubora Wao Kwenye Age Hiyo (20yrs - 26yrs) Wanawake Wamefanya Makosa Na Kuanza Kuishi Kitalii. Maadili Na Malezi Ya Kitanzania Yapo Wazi Kabisa Yameonyesha Namna Gani Mwanamke Uwe Na Stara Pamoja Na Heshima Kwenye Jamii.
Niwape Siri Ndogo Tu Wanawake, Mwanaume Utafuta Mwanamke Wa Kuoa Si Kwa Sababu Yake Mwenyewe Bali Utafuta Wanamke Wenyewe Maadili Na Stara Kwa Sababu Ya Watoto Wake Wawe Kwenye Mikono Salama Hata Kama Hatokuwepo.
Maana Kuacha Watoto Kwa Mwanamke Mpumbafu Ni Kupoteza Generation Zijazo Pamoja Na Ndoto Zao. Angalia Vyema Unavyoishi Kwenye Jamii Yako Usifate Sana Mkumbo.
Wengi Wamesombwa Na Wimbi La Maisha Walivyokuwa Wanaishi Vyuoni Wamepeleka Mtaani Na Hapo Ndio Kosa Kubwa Lilipoanzia.
Namna Ulivyokuwa Ukiishi Vyuoni Na Mtaa Ni Vitu Viwili Tofauti, Maana Umri Utakuwa Unasonga Wakati Ulitakiwa Kuwa Kwenye Track Nzuri.
Wanaanza Kutambua Na Kujutia Katika Age Ya Nenda Kwa Usalama (27yrs - 29yrs) Na Hapo Wanakuwa Wanatembea Kwenye Deadline.
Wakifika 30yrs Hapa Sasa Wanakuwa Desperate Na Kuanza Kukashifu Ndoa Na Wanaume, Kumbe Walikosea Wenyewe Kwenye Age Ambayo Walitakiwa Wafanye Maamuzi Sahihi Ila Wakafata Lifestyle Ambazo Zimeharibu Mipango Na Kuwaondolea Sifa Za Kuwa Mke.
Yote Kwa Yote Wanawake Wenye Age 20 - 27yrs Msifanye Makosa Waliofanya Makosa Waliowatangulia Mtakuja Kukumbuka Mkifika 30's.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu