arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
jaribu kumfanyia conseling...!inawezekana ww humfiksh pale anataka..!kumuacha cyo solution,,jaribu ku2mia huo ushauri kaka..
Hilo gumu maana huwa ni wakali sana, ujue mambo hayo hufanyika kwa siri na kuhakikisha wewe usijue, na pale unapoona dalili kisha kumwambia atakushangaa kwa vile hujamshika ugoni