Jitulambagu
Member
- Mar 31, 2024
- 15
- 15
Habari wakuu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada bila kupoteza muda.
1.Huyu ni mwanaume anayeweza mdudu tendo la ndoa Ata kwa zaidi ya dakika 30 na humrisha mwanamke ila tatizo lake mbegu zake hazitungishi mimba.
2.Huyu ni mwanaume anayeweza kutungisha mimba tena anaweza kua Ata kamzalisha mwanamke watoto 10 ila tatizo lako wakati wa tendo uume wake unapoingia ukeni hamalizi hata dakika1 anakuwa amemwaga mbegu zake na Hana hamu na tendo tena.
Swali je, kwa mwanamke ni mwanaume yupi unaweza mvumilia ikawa Sawa kwako.? Na kwa mwanaume ni bora uwe yupi Kati ya Hao?
N.B Nazungumzia wahusika wakiwa tayari kwenye ndoa, napia kumridhisha mwanamke si swala la kufanya tendo muda mwingi, ila ndiyo si kwa ndani ya dakika1.
Karibuni.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada bila kupoteza muda.
1.Huyu ni mwanaume anayeweza mdudu tendo la ndoa Ata kwa zaidi ya dakika 30 na humrisha mwanamke ila tatizo lake mbegu zake hazitungishi mimba.
2.Huyu ni mwanaume anayeweza kutungisha mimba tena anaweza kua Ata kamzalisha mwanamke watoto 10 ila tatizo lako wakati wa tendo uume wake unapoingia ukeni hamalizi hata dakika1 anakuwa amemwaga mbegu zake na Hana hamu na tendo tena.
Swali je, kwa mwanamke ni mwanaume yupi unaweza mvumilia ikawa Sawa kwako.? Na kwa mwanaume ni bora uwe yupi Kati ya Hao?
N.B Nazungumzia wahusika wakiwa tayari kwenye ndoa, napia kumridhisha mwanamke si swala la kufanya tendo muda mwingi, ila ndiyo si kwa ndani ya dakika1.
Karibuni.