promi demana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 309
- 82
Hilo gazeti sio la CUF kweli kuelekea 2015?
Enewei.
Enewei.
tumelifungia kabla halijatoka!!!!!
Hilo gazeti sio la CUF kweli kuelekea 2015?
Enewei.
Na wewe Mungu atakufungia Pepo kabla hata HUJAFA.P....................................VU!tumelifungia kabla halijatoka!!!!!
hapana nasikia ni mkono wa kubenea, tumemiss detective jounalism ambayo kubenea huifanya bila woga.
sasa haya magazeti mengine ni mzigo kwa wasomaji , ukiacha Raia Mwema linalojaribu jaribu.
duu mna roho mbaya kama majununi bwana...
Na wewe Mungu atakufungia Pepo kabla hata HUJAFA.P....................................VU!
hahahahahahahah,hii kali kweli,yaani hata halijatoka tayari lipo kitanzinitumelifungia kabla halijatoka!!!!!
tumelifungia kabla halijatoka!!!!!