MwanaCHADEMA mwenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo ni vyema akaachana na huo mpango. Tayari yana wenyewe

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,224
22,305
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
na atakae sogeza pua, mdomo au kimbelembele cha ujuaji asilalamikie wasio julikana wakati kwenye listi wapo wapo wazi kabisa 🐒
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
Hakuna atakaewachagua.Yaani uchague watu ambao watakuja kusababisha Serikali isitoe pesa kisa njaa zao?

Sabaya amesema wazi mkichagua Wapinzani tarajieni wao ndio watoe pesa za Ilani zao ila ccm haiwezi toa pesa kwenye Maeneo ya Wapinzani
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.

Ukisikia watu huwa wanapatwa na wehu, inakuwa hivi kama ilivyo.¹
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
Waache Wananchi waamue mwakilishi wao.

...........Punguzeni shobo vijana, Kuwa chawa ni kujidhalilisha.
 
Back
Top Bottom