johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,982
- 141,999
Katibu mkuu wa CHADEMA mh John Mnyika amesema Wanachama wote wanaotarajia kugombea Uenyekiti wa Serikali za Mitaa 2024 au Udiwani, Ubunge na uRais 2025 wawaone Viongozi wa Chama na kuweka Nia sasa
Mnyika amesema haya kupitia ukurasa wa Chama twitter
Jogoo amewika, Kumekucha!
Mnyika amesema haya kupitia ukurasa wa Chama twitter
Jogoo amewika, Kumekucha!