kavulata pole sana kwa mashambulizi unayopata kutoka kwa wachangiaji wa uzi wako. Kwa maoni yangu ni kwamba walipaswa kujikita kujadili hoja (kama ipo) ili wajipambanue bara bara kama great thinkers. Ila kwa upande wangu uzi wako sitashughulika nao kwa sababu mbili:
i.
acha kuropoka, ficha upumbavu wako.
Kama sio walimu usingejua hata kuandika huo ***** wako.
Kama sio walimu hao madokta wasingepata hizo div one,
kama sio walimu......
Naishi hapo.
Ningekutukana tusi baya sana, ngoja nipite kimya maana ulichoandika hapo ni dharau kwa walimu
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
Sikutarajia majibu tofauti na haya niliyoyapata kwenye uzi wangu huu kwasababu ukweli unauma, lakini meseji sent. Walimu hawa ndo wanaosababisha watoto wetu hawajui kusoma na kuandika, kutokana na uwelewa wao mdogo wanashindwa hata namna ya kula rushwa kwa kumfaulisha mtoto asiyejua kusoma na kuandika kwenda kidato cha kwanza. Mtu mwenye division 4 point 28, tena hapo zamani kidogo ilikuwa hata darasa la saba ni mwalimu gani????. Mwalimu gani anauza karanga na ubuyu darasani hata kama ana mshahara mdogo. Mwalimu wa aina hii naye anataka kumiliki nyumba, gari, kusomesha watoto international school kwa kutumia mshahara wake, nchi gani umeiona hii?.
Acheni ujinga wenu wapondaji.
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
we ni wa kusamehewa bure tu nfikiri hata ukaelishwa huelimikisikutarajia majibu tofauti na haya niliyoyapata kwenye uzi wangu huu kwasababu ukweli unauma, lakini meseji sent. Walimu hawa ndo wanaosababisha watoto wetu hawajui kusoma na kuandika, kutokana na uwelewa wao mdogo wanashindwa hata namna ya kula rushwa kwa kumfaulisha mtoto asiyejua kusoma na kuandika kwenda kidato cha kwanza. Mtu mwenye division 4 point 28, tena hapo zamani kidogo ilikuwa hata darasa la saba ni mwalimu gani????. Mwalimu gani anauza karanga na ubuyu darasani hata kama ana mshahara mdogo. Mwalimu wa aina hii naye anataka kumiliki nyumba, gari, kusomesha watoto international school kwa kutumia mshahara wake, nchi gani umeiona hii?.
Acheni ujinga wenu wapondaji.
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
tatizo Lako mtoa hoja ni ku register ID huku ukijua dhahiri hujatibu MaraliaMigomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.