Mwalimu huyu alipwe bei gani?

Yani mimi toka nisome threat yake nimechoka, hivi ao maprofesa wa uchumi, sheria na ao madaktari wamesomeshwa na wakulima? Wacha uvivu wa kufikiri mtoa mada ningekuwa nakuona wallah ningekupiga mawe, kumbe nyie ndo Watanzania muno akili za kuchangiwa na viongoz wasiojali maslah ya watumish wake, hivi unasapot mbunge alipwe mil 11 per mwezi lakin teacher alipwe laki 2. Ningefurah kama ningepata nafas ya kukupiga mawe
 
Kwanza uelewe kuna waalim wamesoma na huenda kuliko wewe...atleast by PhD level. Hata unaowasema walipata Div 4 huwa wanajiendeleza na kufika chuo kikuu. Napenda usahihishe...si waalimu wote wana kiwango duni ulichotaja na kwa maana hii wanastahili malipo kulingana na qualification
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi?

Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao?

Binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6.

Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
Pambafu zako akiri kama za CCM
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi?

Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao?

Binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6.

Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.

HII SASA NI HEAD ACHE JAMANI DAAH
 
Ngoja nikupe matrix hii ili viazi waambulie pia!

Tunasema mishahara yetu ni midogo lakini ya madaktari ni midogo zaidi. Hebu chukua sifa zifuatazo:

1. PhD
2. Masters
3. 1st degrees (miaka 3, 4 na 5)
4. Advanced Diploma
5. Diploma
6. Certificates

Kama kuna mtu mwenye certificate analipwa sh. 250,000 wafuatao wangepaswa walipwe kama ifuatavyo?

1. certificates = 250,000
2. Diploma = 250,000 x 2 = 500,000
3. Advanced Dip = 250,000 x 2x2 = 1,000,000
4. Ist degree (miaka 3)= 250,000 x 2x2x2 = 2,000,000
5. Masters = 250,000 x 2x2x2x2 = 4,000,000
6. PhD angepaswa pia kulipwa 4000000x2 = 8 milion

Sasa kwa mfumo uliopo sasa kama mwenye certificate analipwa 250000 na mwenye 1st degree laki 9 nani kanyonjwa?
 
Rafiki yangu unahitaji kujua yafuatayo.

1. Mitihani mingi ya Tanzania inapima fitness ya mtu ya siku moja kwa ikiwa mtahiniwa atakuwa unfit siku ya mtihani ndiyo basi.

2. Mtu kufeli mtihani siyo kwamba amefeli kila kitu kwenye maisha.

3. Chuo ni level tofauti sana na sekondari, mtu anapimwa theoretically na practically.
 
Mkuu unajua hii nchi hakuna wa kulaumiwa zaidi ya aliyeanzisha hizi sera za hii nchi ndio kiraza sana maana me cmwelewi hadi leo hii maana dah
 
Huyu jamaa hajielewi msaidieni,, Nina wasiwasi naye sana kama anajua zaidi ya kusoma na kuandika. huyu ni GAMBA
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi?

Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao?

Binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6.

Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
Mental disorder...milembe is loading...please wait....
 
Back
Top Bottom