Mwakyembe mgonjwa afya yake yadorora; ngozi yavimba mwili mzima. Yadaiwa alitegeshewa sumu

The problem ni unataka kujionyesha kwamba wewe ni smart halafu on the proccess unajivua nguo.

I don't consider myself to be smart - shida ya baadhi ya wachangiaji humu ndani ni kufikiri kwamba wao ni watanzania kuliko watanzania wengine na wana uchungu na nchi kuliko watu wengine and by the time you contest their version in any debate basi wanaanza kukuita mjinga au unajionyesha au unajifanya smart Let's discuss issues not people!!! Mimi sina tabia ya kuongelea watu na wala sitaingia ktk mtego wako na kuanza kuku-discuss by the way we do not know each other so let's stick on issues tuache kuzungumzia tetesi. Kama habari is all about a field which is not of your competence then you're not obbliged to send us what I call seasoned air - you can even read just like most people do!
Being said that,I'm closing a debate with you and if you want to go on with your personal attacks go ahead Sir and enjoy yourself!!!
 
Hatimae Dr. Mwakyembe amepelekwa India kwa uchunguzi zaidi wa afya yake, inasemekana ngozi yake imearibika vibaya hata vyombo vya habari hawakuruhusiwa kupata picha

source-TBC1 habari saa 2usiku
 
tz bana! kwani inamaana wabunge kwenye mshahara wao hawakatwi bima ya afya kama watumishi wa umma? kwa kawaida mfanyakazi wa serikali akihitaji rufaa ya nje ya nchi anagharamiwa na wizara ya afya. na analipiwa yeye, msaidizi mmoja (anaweza kuwa mke au atakayemchagua) na muhudumu mmoja ussually nurse manake kama kila mgonjwa akipelekwa na daktari wake ina maana hosp tutahudumiwa na mabenchi? sasa baba mzima unamuaga mkeo unamsindikiza waziri mwenzio hosp? kha!
 
Yale aliyotuambia jamaa kuwa wamefikia hata hatua ya kuogopa kutumia glass na hata kukaa kula au kunywa pamoja yametia. Mwakyemba tayari bado wengine. Mafisadi on the move, kabla ya 2015 mbona tutaona mengi. Who is next? Nape? Sita?...........
 
Dahhh!!hi ! hii sumu kaitoa wapi Mwakyembe???, hii nchi majasusi wataimaliza kwa manufaa ya Mafisadi.
wamemaliza yaelekea kapewa sumu sasa kutuambia huenda amekula chkula kichafu wapi na wapi waziri kula chakula kichafu ila ccm hii ya sasa ni hatari heri kifutwe
 
Anaweza kuwa ilimuinia wakati gani?
Ina itwa lnini?
Nadhani kwa teknologia ya leo hata mwezi sumu ilipoingia mwilini unweza kujulikana, kwa sababu
It is a slow acting poison

hii in maana gani?
Heri isiwe sumu,ili tuwe na amani na imani.

Tumuombee apone haraka,
Mkono wa uponyaji wa Mungu Mkuu uwe juu yake.

Wana JF sote tumuombee heri usiku huu,
 
Nadhani kupelikwa India ni sawa ila akienda na mkewe inatosha kabisa kuliko lundo la watu ni garama tu kwa serekali na hawatamsaidia chochote
 
Hili taifa la wajinga sana..ndo maana tumezalisha viongozi wajinga.huyo mtu anayeambiwa mgonjwa sana kumbe yuko nyumbani na tayari madaktari nao wanatoa ushauri akatibiwe nje..aibu kwa daktari ayemwandikia kwenda nje kutibiwa.
 
kalokolaVIII
ili tuelewe unavyoelewa..simply, tupe differential diagnosis (DD) ya uvimbe unaoonekana kwenye picha ya mikono ya Mheshimiwa
 
Eee Mungu tusaidie wana wa nchi hii kwani kama ni Bomu limebakisha kama 5 min lilipuke,

Bado kidogo kutawaka moto hapa....
 
I don't consider myself to be smart - shida ya baadhi ya wachangiaji humu ndani ni kufikiri kwamba wao ni watanzania kuliko watanzania wengine na wana uchungu na nchi kuliko watu wengine and by the time you contest their version in any debate basi wanaanza kukuita mjinga au unajionyesha au unajifanya smart Let's discuss issues not people!!! Mimi sina tabia ya kuongelea watu na wala sitaingia ktk mtego wako na kuanza kuku-discuss by the way we do not know each other so let's stick on issues tuache kuzungumzia tetesi. Kama habari is all about a field which is not of your competence then you're not obbliged to send us what I call seasoned air - you can even read just like most people do!
Being said that,I'm closing a debate with you and if you want to go on with your personal attacks go ahead Sir and enjoy yourself!!!
Hakuna pahala nime enda personal acha kuruka ruka ukibanwa.Hilo la kujifanya smart siyo personal cause nina judge based on what you post here.Kwa kifupi haumake sense at the same time una insist kuwa unabehave in a scientific manner.FYI i dont need to know you neither.Just stay in your lane.And if too hot you know what to do.Usitafute sababu za kutumia lugha,bali tumia lugha kwasababu maalum ie kueleweshana humu.Ndipo tatizo lilipo kwa wengi wenu.I come here to get knowledge.I have nothing to do with the politics.Neither do i with the personal ones.Kwanza tumekutana kwenye huu mjadala.So hayo ya kukujua kama sina maslahi kwenye issue unakuwa unajionyesha udhaifu wako.
 
Acha kupotosha watu hapa Dr hakuwa na matatizo ya kiafya katika namna unayotaka kuaminisha watu hapa jamvini. Ni wazi umeingia hapa kwa lengo la upotoshaji kutekeleza jukumbu ulopewa na waliokutuma.

Hi bro jmushi1!
I'm highly proud of my UJINGA!!!!!
in no place I have mentioned your name neither have I said you're the one one who initiated the thread, romans used to say excusatio non petita,accusatio manifesta!!! Discussing people is not part of my indole - believe me!!!

Halafu nasoma kuwa kwenye investigation yoyote si utaalamu wa kisayansi tu unaotegemewa??? Kama unazungumzia sayansi basi ni utaalamu wa KISAYANSI TU unaotegemewa,kama unazungumzia uchawi basi sina cha kusema maana I'm completely ignorant in the field.

I said, to the best of my knowledge huyo jamaa alikuwa na matatizo ya afya kabla hata hajawa MP na hali imeanza juwa mbaya nasikia miezi 3 iliyopita - so what are you contesting in this??? It might be not scientific but it's a fact; facta non verba!!! na hii ni tofauti na kusema "amepewa sumu and by sumu we mean polonium" are u joking????????
Medicine is not statistics - so don't pretend to analyze anything regarding medicine if it's not your field you'll only be frying the air!!!
 
Acha kupotosha watu hapa Dr hakuwa na matatizo ya kiafya katika namna unayotaka kuaminisha watu hapa jamvini. Ni wazi umeingia hapa kwa lengo la upotoshaji kutekeleza jukumbu ulopewa na waliokutuma.
Nikimwelewesha mimi analia lia anadai naenda personal.Subiri tuone.Yeye badala ya ku analyse,anakuja na speculations zake halafu anajidai eti anazi back up na kile anachokiita "Scientific manner" Utacheka kweli humu JF sometimes.Anajidai yuko lab na wakati kila anachokitoa hakina uhusiano na utafiti wa kisayansi.
 
Nilipokuwa ninatazama habari leo ITV nilishangaa kujua kuwa Dr Mwakyembe akiwa anasindikizwa kwenda India kwa matibabu alipelekwa na gari analotumia Nape. Swali langu ni kuwa hivi hapakuwa na gari la wizara kwa ajili yake ama ndio waanzilishi wa CCJ wanakumbukana na kusaidiana?

Lakini lingine la kushangaza ni kuwa Mh Sitta yeye wala hatajwi kwenda kumjulia hali "mpiganaji" mwenzake na mwanzilishi wa CCJ? Nimemwona akifungua michuano ya kikapu ya Africa Mashariki. Jamani mbona hakuonekana Airport akimsindikiza comrade?

Tunamwombea "mpiganaji" wetu afya njema, aende, atibiwe kisha arudi atuambie ukweli aliouficha katika suala la Richmond na Dowans kabla nchi haijalipuka kwa maandamano.
 
Back
Top Bottom