nape atakuwa anajua sumu waliomlisha mwakyembe naomba nape utujuze mmemlisha sumu gani na nani anafata na mmepanga kuua wa ngapi mpaka 2015 maana lowasa nae nasikia alipooza upande mmoja akapelekwa kwenye maombi..ni vita ya magogoni tu au kuna mengine kama kawaida..
Edson,hiyo signature yako inatokana na ile kauli ya Kiranga?kalokola huijui nchi hii na huijui kabisa......ni heri ukaaa kimya kuliko kuandika uongo hapa......we subiri matokea tu....huo ugonjwa unaousema huwa hauji kwa satli ya ulivyokuja kwa mwakyembe......
nape anamsindikiza ili aonekane hajui kinachoendelea.
Nape ni bomu jingine ndani ya ccm.
Mwakyembe yupo india
Mwandosya yupo india,
Nani anafwata. . . . . . .?
nape anamsindikiza ili aonekane hajui kinachoendelea.
Nape ni bomu jingine ndani ya ccm.
Mwakyembe yupo india
Mwandosya yupo india,
Nani anafwata. . . . . . .?