Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Mwakyembe alikuwa yule wa zamani kabla hajaenda kulazwa India, huyu Mwakyembe wa sasa sijui amewekewa chip ili awe anasema asichokijua, au alikuwa stable kipindi hicho kwasababu alinyimwa uwaziri na baba riz aaah! Inauma sana kama wasomi wetu watakuwa wanasahau taaluma zao kama huyu.
 
Mwakyembe lazima aumie rohoni! wale V ijana wapo juu kisiasa na kimatendo sasa Mwakyembe c mchumia Tumbo? Elimu yake ina mchango gani kwa taifaletu?
 
Sugu na Mwakyembe wote wanatoka mbeya, ila mbunge wa mbeya wa mwnanchi wote ni Sugu.

Mwakyembe kibaraka cha ikulu, sugu ni kibaraka cha wana mbeya,

PHD za Tanzania hazina maana maana kila phd holder hajiamini, kulia lialia tuu walau maisha yaende
 
Sasa kama hakuna shule inayofundisha busara, ilikuwaje yeye ahoji umahiri wa PhD katika kuongoza wabunge!
Huwa tunategemea wenye kiwango hicho cha elimu wa ongoze kwa mfano bila upendeleo huku tukiamini wao kusoma kote kumewatanua upeo wa kuyatafakuri mambo....Cha kusikitisha hawa PHD holders especially kutoka CCM daily wamekua wakitudhihirishia ni kwa jinsi gani wao ni ma educated fools.
 
Sugu mbunge aliyeishia kidato cha pili leo amekuwa wa kutegemewa ndani ya kambi ya manyumbu,kweli chadema mmejaa usanii,mwenyekiti mwenyewe ni form six failure...hahahahha
 
Ila wabunge wengi wa cdm elimu yao imejaa ukakasi tukianzia na Kiongozi wa Upinzani na Mkiti wa cdm..ndio maana kunakosekana dira wanakuwa watu wa siasa za matukio ya msimu
 
kwa haya aliyozungumuza bora hata lusinde hivi lini mpiasho itaisha bungeni? kwa nini wasiitungie sheria mbunge anayechangia michango ya hovyo bungeni akatwe posho.
 
kwa haya aliyozungumuza bora hata lusinde hivi lini mpiasho itaisha bungeni? kwa nini wasiitungie sheria mbunge anayechangia michango ya hovyo bungeni akatwe posho.
Lusinde ni daraja la saba lakini ni mjanja Kuliko Mwakyembe ambaye anajiita msomi wakati kichwani hana Taaluma anamiliki vyeti vya Kugushi na kununua.
 
Another episode from Dr.Kilaza.Eti anajifanya msomi kwa kudiscuss watu badala ya issues.Anajiona mjanja kumbe anajidhalilisha.Bado safari ndefu tunayo.
Kule mbeya wananchi wanajua Mwakyembe si msomi bali ni mjanja janja ndiyo maana hawakumpigia kura akaamua kuchachua matokea akapora ushindi kwa Goli la mkono. Elimu ya Mwakyembe ni Feki kama yalivyokuwa yale mabehewa feki aliyoyanunua kwa kutumia mbinu feki.
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Lusinde ni daraja la saba lakini ni mjanja Kuliko Mwakyembe ambaye anajiita msomi wakati kichwani hana Taaluma anamiliki vyeti vya Kugushi na kununua.

mmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhh...vyeti vya kugushi?????? This is a very serious allegation...
 
Sugu alishinda kwa kishindo lakini Mwakyembe kutokana na wananchi kujua ni Mwizi hawakumchagua bali alichakachua matokeo akashinda kwa Goli la mkono.


Watu wanamchagua Sugu kwa sababu ya Hip Hop na siyo kwa sababu ya uwezo wake, hiyo ni kawaida Dunia nzima hasa vijana ndiyo maana utaona leo hii Wema Sepetu akiamua kugombea Uraisi atapata kura nyingi anaweza kushinda lkn haimaanishi kwamba ana uwezo wa kuongoza ni kwamba tu sehemu kubwa ya binadamu wa Dunia hii ni simple minds na hao ndiyo wapigaji kura, na ndyo maana Dunia inaongozwa akina Kim Kardashian, George Clooney &Co. mamovie stars, wanamuziki n.k hata Profesa J hajashinda kwa sababu nyingine yoyote ile isipokuwa Hip hop!
 
Watu wanamchagua Sugu kwa sababu ya Hip Hop na siyo kwa sababu ya uwezo wake, hiyo ni kawaida Dunia nzima hasa vijana ndiyo maana utaona leo hii Wema Sepetu akiamua kugombea Uraisi atapata kura nyingi anaweza kushinda lkn haimaanishi kwamba ana uwezo wa kuongoza ni kwamba tu sehemu kubwa ya binadamu wa Dunia hii ni simple minds na hao ndiyo wapigaji kura, na ndyo maana Dunia inaongozwa akina Kim Kardashian, George Clooney &Co. mamovie stars, wanamuziki n.k hata Profesa J hajashinda kwa sababu nyingine yoyote ile isipokuwa Hip hop!
Wema Sepetu alijaribu kugombea Lakini alitoswa licha ya kutumia pesa nyingi.
 
Watu wanamchagua Sugu kwa sababu ya Hip Hop na siyo kwa sababu ya uwezo wake, hiyo ni kawaida Dunia nzima hasa vijana ndiyo maana utaona leo hii Wema Sepetu akiamua kugombea Uraisi atapata kura nyingi anaweza kushinda lkn haimaanishi kwamba ana uwezo wa kuongoza ni kwamba tu sehemu kubwa ya binadamu wa Dunia hii ni simple minds na hao ndiyo wapigaji kura, na ndyo maana Dunia inaongozwa akina Kim Kardashian, George Clooney &Co. mamovie stars, wanamuziki n.k hata Profesa J hajashinda kwa sababu nyingine yoyote ile isipokuwa Hip hop!
Mkuu usiwe muongo mbona wema hakufika mbali alipojaribu?
 
Sugu na Mwakyembe wote wanatoka mbeya, ila mbunge wa mbeya wa mwnanchi wote ni Sugu.

Mwakyembe kibaraka cha ikulu, sugu ni kibaraka cha wana mbeya,

PHD za Tanzania hazina maana maana kila phd holder hajiamini, kulia lialia tuu walau maisha yaende



Ukitaka ujue Phd ya Mwakyembe ni ziro kabisa kabisa akose ubunge na uwaziri. Hata vimiradi vyake vitakufa kifo cha mende.

Sijawahi kuona msomi mwenye majivuno kama Mwakyembe japo kwa kweli hajalitendea chochote taifa hili zaidi ya kununua Mabehewa feki.

Sijawahi kuona Msomi mwenye jaziba na chuki kama Mwakyembe.
Msomi asiyejua kuzuia jazba,hasira na chuki ni mpumbavu. Kudhibiti jaziba ni kipaji na hekima toka kwa Mungu.
Ukiangalia serikali hii ya awamu hii imejipanga kitaaluma lakini karibu wate hawana busara ,hekima ,uvumilivu na uvumilivu.
Tanzania tuna amani kwa sababu ya kuwa na uvumilivu na hekima sio kwa sababu ya elimu.
Tena Mwakyembe na wengine wenye dharau na kila maneno ya ushuzi kama hayo wafahamu tu kuwa kama hii nchi kila mtu angekua msomi kwa kiwango cha Form four tu basi huu utawala waajabu ajabu wa CCM kwa miaka 50 ungekua umeshaondolewa kwa nguvu ya umma.

Mwakyembe amesahau kuwa ujinga wa watanzania na kukosa kwao elimu ndio mtaji wake na Chama chake.
Sijawahi kumuona Mwakyembe kama msomi muhimu kwa taifa hili zaidi ya mtu aliyeranikiwa tu kibinafsi na familia yake,jambo ambalo lipo kwa kila binadamu anayehangaikia maisha yake.
Kupigania jamii ni kazi ngumu sana.
Mandela hakuwa Phd holda ,hata Sokoine aliishia form two lakini alikua ni muhimu zaidi kwenye taifa hili kuliko maprofesa wengi waliosoma kwa lengo la kuongezewa tu mishahara makazini mwao.
 
Back
Top Bottom