Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Kikwete alikuwa na PhD lakini leo hii analalamikiwa kwa kuifikisha Tanganyika kwenye shiiiiiiiida na ndiyo alimpa Dili la Uchakachuaji form six div zero January ahakikishe kuwa magu anaingia ikulu, Mwakyembe itabidi amwombe samahani January Makamba, Nape, Lukuvi, ole sendeka, Kinana, Agnes marwa, kibajaji, ally kessy, maji marefu na wenzo kibao ambao si wasomi.
 
Kwa ufunza wako utadai Rallphryder ni condom! Huo ndio upeo wako.
Wewe tulia usiwe mtabiri jina lako maana yake ni Aibu siwezi kukuambia sasa mpaka uzae huyo mtoto wa Mwakyembe kwanza Tambua kuwa mie najali haki za binadamu, tulia ulee mimba ya Mwakyembe kwanza acha watu tulijadili PhD feki iliyonunua mabehewa feki ikapatikana pesa iliyokupa mimba.
 
Mwakyembe yupi, au ni Harrison huyu waziri wa sheria aliyeomba mwongozo wa hovyo juzi kuhusu wabunge wa upinzani kunyimwa posho? Kama ni yeye afadhali hata ya Sugu ana uwezo wa kujenga hoja. Mawaziri walio wengi wa CCM ni mizigo.
Huyu msomi mwanasheria ndiye mpumbafu kabisa! Mara nyingi watu wanao argue kwa kujitambulisha kuwa wao ni wasomi huwa ni watu wa hovyo kabisa..mwangalie yeye mwenyewe Mwakyembe na msomi mwingine wa mbwembwe Profesa wa miamba...wote hawa ni hovyo kabisa hakuna walichokifanya cha maana!
 
mbona tegemeo la mipasho ccm ni Livingston Lusinde a.k.a kibajaji na ole sendeka je? wana PhD ?
Huku kwetu
..ni wachache lakini kule kwenu Elimu zao ndogo sana....huwa nashangaa sana mbunge mwenye Elimu ndogo...
 
Wewe kwa akili yako na kwa akili ya wasomi wa kiafrika ni Wasomi wangapi majasiri wanaoweza Kujiunga na upinzani ili wapigwe mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha?

Ndio maana hata wakati wa kudai uhuru Mwalimu Nyerere aliwafuata waislam wa Pwani waliokua na elimu ya madrasa na busara kubwa na kuungana nao baada ya kuona wasomi na wakristo wa bara walikosa ujasiri kwa kuhofia nafasi zao kwenye serikali ya mkoloni.

Wasomi aina ya Mwakyembe hawajawahi kuleta mabadiliko chanya kwenye nchi za kiafrika.
Mbona watu kama Profesa Baregu, na hata Dr.Slaa ni wasomi waliobobea na walileta mabadiliko chanya na ambayo hadi leo tunaona matunda yake
 
Huyu msomi mwanasheria ndiye mpumbafu kabisa! Mara nyingi watu wanao argue kwa kujitambulisha kuwa wao ni wasomi huwa ni watu wa hovyo kabisa..mwangalie yeye mwenyewe Mwakyembe na msomi mwingine wa mbwembwe Profesa wa miamba...wote hawa ni hovyo kabisa hakuna walichokifanya cha maana!
Mkuu Mwakyembe si msomi bali ana PhD feki kama mabehewa feki.
 
Dira za ccm ni Kinana je? ana PhD? akina Ole sendeka ni Wasomi? Mkuu wa kitengo cha Uchakachuaji na kamati za Ufundi cha ccm ni January makamba ambaye form six alipata Div zero hata Nape ni Div 4 kama Jesca lakini ndiyo tegemeo la ccm kwenye kudhoofisha Upinzani, wanaojiita wasomi wa ccm wote akina, Chenge, Tibaijuka, werema, Maswi, ngereja, Kapuya, na wenzao wamelifanyia nini Taifa?
sijaona hoja uliyojenga hapa zaidi ya kutaja majina..tukisema wasomi hatumaanishi phd..sasa unaambiwa msigwa kaishia form four,Sugu alikimbia form two..n.k hao kina Makamba na Nape walijiendeleza hadi wakafikia ngazi ya Masters
 
Lusinde ni daraja la saba lakini ni mjanja Kuliko Mwakyembe ambaye anajiita msomi wakati kichwani hana Taaluma anamiliki vyeti vya Kugushi na kununua.
Lusinde ni hovyo lakini nilikubali hoja yake kwamba CHADEMA tukimuita mtu fisadi ujue tunataka awe mgombea wetu wa urais.
 
Back
Top Bottom