Kikwete alikuwa na PhD lakini leo hii analalamikiwa kwa kuifikisha Tanganyika kwenye shiiiiiiiida na ndiyo alimpa Dili la Uchakachuaji form six div zero January ahakikishe kuwa magu anaingia ikulu, Mwakyembe itabidi amwombe samahani January Makamba, Nape, Lukuvi, ole sendeka, Kinana, Agnes marwa, kibajaji, ally kessy, maji marefu na wenzo kibao ambao si wasomi.