PhD gani huyo aliyekwenda india kununua mabehewa chakavu? Huo usomi gani? Kule bandarini alileta ukabila akawaweka ndugu zake kibao, huo ndiyo usomi? Report ya Richmond alificha file linaloonyesha Kikwete ni Mmiliki akatengeneza uzushi kwa Lowasa huo ndiyo Usomi? Kama PhD ni kwenda Hotelini kukaa masaa 3 kumfundisha DR Slaa jinsi ya kutengeneza Sinema ya kumdhoofisha lowasa basi wengi hawatahitaji PhD maana Mwakyembe anaidhalilisha.mmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhh...vyeti vya kugushi?????? This is a very serious allegation...