Kenya haooooooooooo
Wabongo wakiambiwa wanaachwa na 'WATANI wa JADI' inawauma sana! Kwa taarifa yako, hapa NRB jambo lolote linaloashiria TZ kuwapita waKenya linawauma vilevile; hata kama ni T/Staz kushinda mpira!
Kenya haooooooooooo
Ujasiri ni kuongelea kwenye Kamati Kuu ya CCM? Hiyo taarifa anayo toka alipoketi kama Mwenyekiti wa Kamati ile! Alikuwa anaijua kabla ya hukumu kutolewa! Akapewa na uwaziri kama zawadi! Akaukubali na anaendelea nao! Sasa hivi Rostam akijiuzulu uchaguzi katika jimbo lake utarudiwa fedha ya kodi itatumika bado ametusaidia? Mbona hakusema kabla ya uchaguzi wananchi wajue? Au anasaidia chama kwanza then watanganyika?
Na Mwakyembe anajua, Raisi hajui? Siku zote hajamwambia? Kama amemwambia na Raisi amekaa kimya ametusaidiaje? Kama hajamwambia kwa nini?
Lazima tujiulize sana katika hili jambo na kupata majibu sahihi! Tukikurupuka tutabaki washabiki kama ilivyokuwa kipindi cha kujiuzulu kwa EL!
Unajua kwamba Kagame hana tofauti. Kwanza wapinzani wake wote wakati wa uchaguzi walikua wametokea kundi moja sema kwa sababu ya uchaguzi ilibidi ionekane kwamba ana upinzani lakini wapi? So sijui kama Kagame atafaa.Inabidi twende Rwanda tukamkodishe H.E Kagame atusaidie kuwajibisha mafisadi wote. Yule haangalii mtu machoni. Kwa style ya viongozi wetu Tz ni kulindana tu. Hata iweje. Tofauti na hapa tukubali Dr. Slaa aongoze nchi kwa kipindi kimoja tu amalizane kwanza na wala nchi tu. Tumechoka.
Wabongo bana, sometimes tunakritisaizi unconstructively kabisaa. Haya ni mambo yametokea juzi tu 2008 tayari historia imeanza kupindishwa.
1. Hivi aliyetuambia kwamba kampuni ya Richmond ilikuwa ikitumia same address na ile ya Caspian ni nani?
2. Aliyetuambia kwamba walimwita Rostam kwa mahojiano akatoa udhuru tena si mara moja ni nani?
I am not saying Mwakyembe ni mtimilifu or whateva of that sort lakini at least katika CCM kwa standards za ki-CCM ameonyesha ujasiri na si mara moja kwenye suala hili. Na hii ya kusema kazi yake ni kutaja tu, nadhani ni kuwakwepeshea makusudi wenye majukumu yanayofuata baada ya hapo. TAKUKURU, DPP na mahakama.
Hayo maneno unaweza kuyasimamia siku zijazo au ni ya leo tu.Bora yeye kuliko wewe uliempiga mtu RISASI pale Pub Alberto Moshi na kutumia taaluma yako ya kuwa mwanansheria na kufahamiana na wanasheria mkamaliza kesi kihuni, yule uliempiga risasi ni kaka yangu toka nitoke, najua wewe ni diwani wa pasua moshi Mungu atatulipia haki yetu kama familia
Suala la Dowans lilijitokeza juzi jumatatu wakati kamati ya wabunge wa CCM iliyoketi Dar es Salaam, nimefurahishwa na hii nukuu jinsi alivyozungumza Mwakyembe: "Mnahangaika nini? Aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu: anaitwa Rostam Aziz. Serikali ifanye kila linalowezekana kuhakikisha fedha hizi hazilipwi"
Source: Mwana Halisi Janaury 26-Feb 1, 2011 Ukurasa wa pili paragrafu ya 22
Suala la Dowans lilijitokeza juzi jumatatu wakati kamati ya wabunge wa CCM iliyoketi Dar es Salaam, nimefurahishwa na hii nukuu jinsi alivyozungumza Mwakyembe: "Mnahangaika nini? Aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu: anaitwa Rostam Aziz. Serikali ifanye kila linalowezekana kuhakikisha fedha hizi hazilipwi"
Source: Mwana Halisi Janaury 26-Feb 1, 2011 Ukurasa wa pili paragrafu ya 22
Sasa angekuwa nje wangepataje ujumbe huo, maana wengine wakiambiwa Serikali italipa DOWANS hawaulizi bali wanamshangilia mwenyekiti etc .hana lolote Mwakyembe...mi sijamuona kama kuna la maana analoongea kama anakerwa na haya why sasa anaendelea kuwa miongoni mwao huko CCM...
Habari kutoka ndani ya kikao cha kamati ya wabunge CCM kilichomalizika juzi, zinasema kuwa walau wabunge watatu ndani ya kikao hicho, walimnyooshea moja kwa moja kidole, Mbunge mwenzao kuwa ndiye mmiliki wa Dowans.
[FONT=ArialMT, sans-serif]Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, wanasheria waliosoma hukumu ya kesi hiyo wamedhihirisha wazi kuwa, mmiliki halali wa Dowans ni mbunge huyo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Taarifa zinaeleza kuwa, hukumu hiyo yenye kurasa 211 tayari imenyofolewa kurasa nne, ambayo imeelezwa kwamba iwapo itawekwa hadharani, ushahidi wake unadhihirisha wazi kuwa ni mmiliki wake na pia anatuhumiwa kuwa ndiye aliyeileta kampuni ya Richmond.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kwa mujibu wa chanzo hicho, meneja huyo(wa Net Group Solutions) aliieleza ICC kwamba majadiliano ya kuhamisha mkataba wa Richmond kwenda Dowans yalifanyika nje ya Tanesco kinyume cha sheria ya manunuzi ya umma.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Chanzo hicho kilinukuu sehemu ya ushahidi wa Meneja wa Net Group Solutions katika hukumu ya ICC ikisema kwamba, asiposaini chochote kinaweza kumtokea, shinikizo alililodai alipewa na mbunge huyo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Katika hatua nyingine, Mbunge wa Urambo Mashariki ambaye pia ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mshariki, Samuel Sitta, amesema leo atawasilisha malalamiko yake kwa Baraza la Habari Tanzania (MCT) dhidi ya baadhi ya magazeti aliyodai yanatumika kumchafua.[/FONT]
"[FONT=ArialMT, sans-serif]Sishangai kuchafuliwa na kampuni ya … kwa sababu mmiliki wake ndiye mmiliki wa Dowans, [/FONT]
Anaendelea kuwepo.......je kazi yake itakuwa kuyutajia wezi tu?
Hapo Kalamu umesema kweli kabisa.
Mwakyembe alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya uchunguzi wa Richmond, angetuletea hilo alilosema sasa moja kwa moja badala ya kuzunguka mbuyu tusingekuwa tumefika hapa. Wao wenyewe walisema kuna vitu wameficha ili kuisaidia serikali sasa Rostam ni serikali?
kuna vitu huwa anavijibu haraka sana lakini si RichMond na Dowanssiku zote RA anatuhumiwa kumiliki DOWANS.... mbona hajatokea na vielelezo vinavyoonyesha wamiliki halali wa DOWANS ili awe amejisafisha.... vinginevyo hii kampuni ya DOWANS Tanzania ni ya kwake..... hakuna ubishi hapa
CCM ni ya wote,Mwakyembe hana sababu ya kujitoa zaidi awabane tu hadi kieleweke tu.hana lolote Mwakyembe...mi sijamuona kama kuna la maana analoongea kama anakerwa na haya why sasa anaendelea kuwa miongoni mwao huko CCM...
Tusikomee kuongea peke yake tuchukue hatua. Inabidi yaandaliwe maandamano ya kumtaka Rais awawajibishe wale wote waliohusika kwenye sakata la Dowans/Richmond akishindwa aachie ngazi