Suala la Dowans lilijitokeza juzi jumatatu wakati kamati ya wabunge wa CCM iliyoketi Dar es Salaam, nimefurahishwa na hii nukuu jinsi alivyozungumza Mwakyembe: "Mnahangaika nini? Aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu: anaitwa Rostam Aziz. Serikali ifanye kila linalowezekana kuhakikisha fedha hizi hazilipwi"
Source: Mwana Halisi Janaury 26-Feb 1, 2011 Ukurasa wa pili paragrafu ya 22
sasa sebene limefikia chorus
Suala la Dowans lilijitokeza juzi jumatatu wakati kamati ya wabunge wa CCM iliyoketi Dar es Salaam, nimefurahishwa na hii nukuu jinsi alivyozungumza Mwakyembe: "Mnahangaika nini? Aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu: anaitwa Rostam Aziz. Serikali ifanye kila linalowezekana kuhakikisha fedha hizi hazilipwi"
Source: Mwana Halisi Janaury 26-Feb 1, 2011 Ukurasa wa pili paragrafu ya 22
Wewe umefanya nini?
wewe nawe kama haupo nchi hii vile,mi huwa naunga kauli ya marehemu mwl nyerere kuwa mpinzani wa kweli atatoka ndani ya ccm,so kwa mwakembe ni nyota nzuri kwa watanzania,anapigana ndani bdy akishindwa tutamuona huku nje,pili si kila mpenda haki yupo upinzani,pia ndani ya ccm wapo watu wazuri na watenda haki na wachapa kazi wazurihana lolote Mwakyembe...mi sijamuona kama kuna la maana analoongea kama anakerwa na haya why sasa anaendelea kuwa miongoni mwao huko CCM...
hana lolote Mwakyembe...mi sijamuona kama kuna la maana analoongea kama anakerwa na haya why sasa anaendelea kuwa miongoni mwao huko CCM...
Rostam ndiye aliharibu,ili kujaribu kummaliza Mwakyembe
Mwakyembe for Presidency
Kama anaweza kupambana nao akiwa nao akimbie nini??? Go goooo go Mwakyembe
suala la dowans lilijitokeza juzi jumatatu wakati kamati ya wabunge wa ccm iliyoketi dar es salaam, nimefurahishwa na hii nukuu jinsi alivyozungumza mwakyembe: "mnahangaika nini? Aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu: Anaitwa rostam aziz. Serikali ifanye kila linalowezekana kuhakikisha fedha hizi hazilipwi"
source: Mwana halisi janaury 26-feb 1, 2011 ukurasa wa pili paragrafu ya 22
sasa sebene limefikia chorus
Sababu ndiye aliyemuweka rais madarakani, na akitaka kumtoa anaweza na sasa anamuandaa mwingine na dalili za awali tayari zinaanza kuonekanaBravo Mwakyembe,kwanini mtu mmoja anayumbisha nchi nzima huu si ujinga kabisa.