JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Mdondoaji,
..OAU charter inatambua mipaka iliyoachwa na wakoloni. hilo ni moja.
..pia hapo Zanzibar inasemekana alikuwepo Mreno kabla ya Muarabu. sasa ina maana Mreno aje adai Zanzibar?
..pia ili hiyo move ifanikiwe, wananchi wa ukanda wa pwani ya Tanganyika,Kenya,Msumbiji,Somalia, inabidi waanzishe harakati za kumtambua mtawala wao wa zamani Sultani wa Zanzibar/Oman.
..vilevile it has to be established kwamba Sultani aliunda utawala na namna fulani, na siyo trading sphere au influences, kama inavyosomeka ktk literature nyingi.
..zaidi, itabidi utafutwe uhalali wa umiliki wa Sultani wa eneo la Pwani ya Afrika Mashariki. je, nani alimpa Sultani mamlaka ya utawala wa eneo hilo?
..mwisho, na hili ndilo muhimu kuliko yote, ni kama it is feasible kuanza kucheza na mipaka ya Afrika kwa wakati huu. kumbuka hapa unacheza na mipaka ya Tanganyika,Kenya,Msumbiji,na Somalia.
..OAU charter inatambua mipaka iliyoachwa na wakoloni. hilo ni moja.
..pia hapo Zanzibar inasemekana alikuwepo Mreno kabla ya Muarabu. sasa ina maana Mreno aje adai Zanzibar?
..pia ili hiyo move ifanikiwe, wananchi wa ukanda wa pwani ya Tanganyika,Kenya,Msumbiji,Somalia, inabidi waanzishe harakati za kumtambua mtawala wao wa zamani Sultani wa Zanzibar/Oman.
..vilevile it has to be established kwamba Sultani aliunda utawala na namna fulani, na siyo trading sphere au influences, kama inavyosomeka ktk literature nyingi.
..zaidi, itabidi utafutwe uhalali wa umiliki wa Sultani wa eneo la Pwani ya Afrika Mashariki. je, nani alimpa Sultani mamlaka ya utawala wa eneo hilo?
..mwisho, na hili ndilo muhimu kuliko yote, ni kama it is feasible kuanza kucheza na mipaka ya Afrika kwa wakati huu. kumbuka hapa unacheza na mipaka ya Tanganyika,Kenya,Msumbiji,na Somalia.