Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Ngoja ulale ndipo uote. Wazenj wanahitaji muungano ili ima wasichinjane au kuwekwa rumenya na waarabu. It is that simple.
Ndivyo mnavyofundishwa kanisani , Nilitaka kukumbusha ile serikali iliyopinduliwa na Nyerere 1964 ikiongozwa na Mpemba wa Ole Muhammed Shamte , yeye si mwarabu na ilichaguliwa kihalali chini ya Tume huru ya uchaguzi.

It is that not simple.
 
Ndivyo mnavyofundishwa kanisani , Nilitaka kukumbusha ile serikali iliyopinduliwa na Nyerere 1964 ikiongozwa na Mpemba wa Ole Muhammed Shamte , yeye si mwarabu na ilichaguliwa kihalali chini ya Tume huru ya uchaguzi.

It is that not simple.
Acha kutapatapa. Hapa kanisa au madrassat vinaingiaje? Jenga hoja yenye nguvu badala ya kutumia ujinga kueneza uongo. Wewe ni nani kuliona hili ambalo akina Karume hawakuliona? Kama unalilia wapemba watawale Zanzibar, waambe waingie kwenye kinyang'anyiro na upemba wao uone watakavyobwagwa.
 
Acha kutapatapa. Hapa kanisa au madrassat vinaingiaje? Jenga hoja yenye nguvu badala ya kutumia ujinga kueneza uongo. Wewe ni nani kuliona hili ambalo akina Karume hawakuliona? Kama unalilia wapemba watawale Zanzibar, waambe waingie kwenye kinyang'anyiro na upemba wao uone watakavyobwagwa.

kakojowe ukalale
 
Bila hayo unadhani tungekuzaa?


Ndio yesu akasema nyinyi wengine mnazaliwa si riziki


wjdgay4.jpg
 
Ndio yesu akasema nyinyi wengine mnazaliwa si riziki


wjdgay4.jpg
Hayo matusi mwanangu. Yesu anaingiaje na kutokuwa si riziki kunaingiaje wakati tulishakufyatua wewe kitegemezi chetu?Ukitaka kujua ukweli zaidi muulize bi Mkubwa wako nani anahusika na mzigo uliokutoa wewe.
 
Hayo matusi mwanangu. Yesu anaingiaje na kutokuwa si riziki kunaingiaje wakati tulishakufyatua wewe kitegemezi chetu?Ukitaka kujua ukweli zaidi muulize bi Mkubwa wako nani anahusika na mzigo uliokutoa wewe.
yesu alisema nyinyi wengine mnazaliwa si riziki


wjdgay4.jpg
 
yesu alisema nyinyi wengine mnazaliwa si riziki



wjdgay4.jpg
Kuna mda unakurupuka broo sana punguza hii kitu
Jibu hoja apo.....
Yesu Afundisha Kuhusu Talaka

19 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya akaenda sehemu za Yudea, ng’ambo ya mto Yordani. 2 Umati mkubwa wa watu walimfuata, naye akawaponya huko.

3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia wakamtega kwa kumwuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yo yote ile?”

4 Akawajibu, “Hamjasoma kwamba aliyewaumba tangu mwanzo ali waumba mume na mke 5 akawaambia, ‘Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake na aambatane na mkewe; na hao wawili wata kuwa mwili mmoja’? 6 Kwa hiyo hawawi wawili tena, bali ni mwili mmoja. Kwa hiyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitengan ishe.”

7 Wakamwuliza, “Kwa nini basi Musa aliagiza kwamba mtu anaweza kumpa mkewe hati ya talaka na kumwacha?” 8 Yesu akawa jibu, “Musa aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu mioyo yenu ni migumu. Lakini tangu mwanzo haikukusudiwa iwe hivyo. 9 Nami nawaambieni, mtu ye yote anayemwacha mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, akaoa mke mwingine, anazini.” [“Na mtu anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka pia anazini.”]

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hivi ndivyo hali ilivyo kati ya mume na mke, basi ni afadhali mtu asioe!” 11 Yesu akajibu, “Si kila mtu anaweza kupokea mafundisho haya isipokuwa wale ambao Mungu amewajalia. 12 Kwa maana wako watu wasioweza kuoa kwa sababu wamezaliwa na hali hiyo; na wengine wamefanywa hali hiyo na binadamu; na pia wako wengine ambao wameamua kutokuoa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kuli pokea fundisho hili na alipokee.”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom