Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Kuna mda unakurupuka broo sana punguza hii kitu
Jibu hoja apo.....
Yesu Afundisha Kuhusu Talaka

19 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya akaenda sehemu za Yudea, ng’ambo ya mto Yordani. 2 Umati mkubwa wa watu walimfuata, naye akawaponya huko.

3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia wakamtega kwa kumwuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yo yote ile?”

4 Akawajibu, “Hamjasoma kwamba aliyewaumba tangu mwanzo ali waumba mume na mke 5 akawaambia, ‘Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake na aambatane na mkewe; na hao wawili wata kuwa mwili mmoja’? 6 Kwa hiyo hawawi wawili tena, bali ni mwili mmoja. Kwa hiyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitengan ishe.”

7 Wakamwuliza, “Kwa nini basi Musa aliagiza kwamba mtu anaweza kumpa mkewe hati ya talaka na kumwacha?” 8 Yesu akawa jibu, “Musa aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu mioyo yenu ni migumu. Lakini tangu mwanzo haikukusudiwa iwe hivyo. 9 Nami nawaambieni, mtu ye yote anayemwacha mkewe, isipokuwa kwa sababu yaum
uasherati, akaoa mke mwingine, anazini.” [“Na mtu anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka pia anazini.”]

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hivi ndivyo hali ilivyo kati ya mume na mke, basi ni afadhali mtu asioe!” 11 Yesu akajibu, “Si kila mtu anaweza kupokea mafundisho haya isipokuwa wale ambao Mungu amewajalia. 12 Kwa maana wako watu wasioweza kuoa kwa sababu wamezaliwa na hali hiyo; na wengine wamefanywa hali hiyo na binadamu; na pia wako wengine ambao wameamua kutokuoa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kuli pokea fundisho hili na alipokee.”
Umenukuu biblia ipi?
 
Jibu la faida ya muungano, ni sawa na faida ya Tanga, Arusha, Lindi, Kigoma etc, hizi ni sehemu ya Tanzania.

Miaka mingi nyuma Zanzibar ilikuwa ichi moja na Tanganyika, kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, Zanzibar ikamegeka ma kuwa kama sehemu nyingine. Watu wa kule . ukiondoa wale wa kuja, ni ndugu zetu!, hivyo kitendo cha kuchanya udogo ni uthibitisha wa kuwa wamoja!, hivyo Zanzibarr ni sehemu yeti, ni mali yetu, ni haki yetu!.

Pasco
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Japo sasa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanaelekea miaka 60, Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Unapohoji kuhusu muungano unafokewa, unakumbuka mambo ya Jumbe? Mimi ni haki yangu kuuliza kuhusu uhalali wa muungano. Nataka nimuenzi Mtikila kwa kudai serikali tatu. Ni kwa nini sehemu ndogo ya Zanzibar kuitwa nchi ila sehemu kubwa ya Tanganyika sio nchi?
 
Jibu la faida ya muungano, ni sawa na faida ya Tanga, Arusha, Lindi, Kigoma etc, hizi ni sehemu ya Tanzania.

Miaka mingi nyuma Zanzibar ilikuwa ichi moja na Tanganyika, kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, Zanzibar ikamegeka ma kuwa kama sehemu nyingine. Watu wa kule . ukiondoa wale wa kuja, ni ndugu zetu!, hivyo kitendo cha kuchanya udogo ni uthibitisha wa kuwa wamoja!, hivyo Zanzibarr ni sehemu yeti, ni mali yetu, ni haki yetu!.

Pasco
Ameimega Mungu...
 

Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe.

Lakini imekuwa ni dhambi, tena yenye sumu kali kwa mtu yeyote kuhoji au kutaka kuuchambua Muungano huu.

Lengo langu si kuuliza historia au kudadisi uhalali wa Muungano wa Tanzania bali ni faida zake na manufaa yake kutokana na mfumo wa Muungano kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, mamlaka zilizoko kama vile Mahakama, Bunge, Baraza la Wawakilishi na ni vitu gani ambavyo ni kwa ajili ya Muungano na vipi si kwa ajili ya Muungano.

Je, kwa nini tuliweka vipengele fulani viwe masuala ya muungano na vingine visiwe?

Je, Muungano huu una maana gani ikiwa vipengele ilivyoko vinakingana na azma kuu ya kuunda Taifa lenye nguvu na umoja?

Je, Wananchi wa Tanzania, wananufaika vipi na Muungano huu na wanaathirika vipi kutokana na Muungano huu na mfumo wake?

Je, kuna haja ya kuupitia Muungano na ama kupangua vipengele fulani au kuunganisha kila kitu na kuwa na sura moja bila kutofautisha ya hili la Watanganyika au Watanzania Bara na lile ni la Wazanzibari?

BAADHI YA MICHANGO ILIYOTOLEWA NA WADAU KUHUSU MADA HII

---

---

---

---

---

---

---




ZAIDI UNASHAURIWA KUSOMA MADA HIZI:
= > Lipo wapi tatizo kwenye muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Tafakari!

= > Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni sawa na Muungano wa Siria na Ejibti walioungana 1958

= > Waliohoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wafikia hatua gani?
nimeamini kambona alikuwa na akili nyingi lkn mwalimu alituchuza kwenye swala la muungano.hakuona mbali.kambona apewe maua yake.
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Japo sasa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanaelekea miaka 60, Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kazi Iendelee!.

Paskali

Nyinyi endeleeni kulinda Mapinduzi, Hali ndio hii

View attachment 2666212
 
Nyinyi endeleeni kulinda Mapinduzi, Hali ndio hii

View attachment 2666212
Jukumu la kuulinda huu muungano wetu adhimu, sio la watu fulani na kutuita nyie, ni jukumu la kila Mtanzania mzalendo wa kweli wa taifa lake.

It's very unfortunately, tuna Watanzania wenzetu ni mamluki wanatamani huu muungano wetu adhimu kuvunjika hata leo!.
Mamluki hawa watasubiri sana!.
P
 
Jukumu la kuulinda huu muungano wetu adhimu, sio la watu fulani na kutuita nyie, ni jukumu la kila Mtanzania mzalendo wa kweli wa taifa lake.

It's very unfortunately, tuna Watanzania wenzetu ni mamluki wanatamani huu muungano wetu adhimu kuvunjika hata leo!.
Mamluki hawa watasubiri sana!.
P
Lakini mkuu, umeshasikia kinachosemwa na Wazanzibar? Simaanishi kila Mzanzibar, bali wale ambao wakifunua vinywa vyao sauti zao huwaamsha hata waliolala! Umeshawasikia?
 
Jukumu la kuulinda huu muungano wetu adhimu, sio la watu fulani na kutuita nyie, ni jukumu la kila Mtanzania mzalendo wa kweli wa taifa lake.

It's very unfortunately, tuna Watanzania wenzetu ni mamluki wanatamani huu muungano wetu adhimu kuvunjika hata leo!.
Mamluki hawa watasubiri sana!.
P

Serkali iwe.1 ikishindikana ziwe Serkali.3
Huo ndio Muungano Adhimu!
Uvunje duka lako na mimi nivunje duka langu liwe duka.1 la Muungano!
Au nichukue ½ ya duka langu na wa ½ ya duka lako tupate duka la Muungano!
Sio duka lako ni lako na duka langu ndio la Muungano!
Hivi P hamuioni Kweli ya Kweli na kubaki kuuma uma maneno??
Mchawi nani???
 
Serkali iwe.1 ikishindikana ziwe Serkali.3
Huo ndio Muungano Adhimu!
Naunga mkono hoja, mimi ni Mnyerere naamini kwenye serikali moja! Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!" na hili la serikali mbili nililipinga since day 1 Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha Maumbile! na hapa Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili ndio utauvunja Muungano
Uvunje duka lako na mimi nivunje duka langu liwe duka.1 la Muungano!
Au nichukue ½ ya duka langu na wa ½ ya duka lako tupate duka la Muungano!
Sio duka lako ni lako na duka langu ndio la Muungano!
Naunga mkono hoja
Hivi P hamuioni Kweli ya Kweli na kubaki kuuma uma maneno??
Mchawi nani???
Tunaona na tumewashauri Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja
P
 
Serkali iwe.1 ikishindikana ziwe Serkali.3
Huo ndio Muungano Adhimu!
Uvunje duka lako na mimi nivunje duka langu liwe duka.1 la Muungano!
Au nichukue ½ ya duka langu na wa ½ ya duka lako tupate duka la Muungano!
Sio duka lako ni lako na duka langu ndio la Muungano!
Hivi P hamuioni Kweli ya Kweli na kubaki kuuma uma maneno??
Mchawi nani???
Umenena kizalendo kabisa! Atakayekejeli haitakii mema nchi yetu.
 
Back
Top Bottom