Kweli wewe ni 'DARWIN' ngoja nikwambie,
The law (Constitution) that governing the present union between Tanganyika and Zanzibar is nearly equal to the law of natural selection 'the survival of the fittest' as was pioneered by 'Darwin' (hahahaaaaaaa!). What we see now is that, the people of zanzibar are not fit in the present union environment, if they want to fit therein, they should adhered to what the people of Tanganyika want them to do, for instance:

+ to recognize the URT PM
+ to acknowledged that waziri kiongozi has no voice in Tanzania mainland
+ to allow their oil to be shared
+ to be ready to receive only 3% of URT income
+ to agree that zanzibar is not a country but a mere region like Lindi
+ to allow MPs from Tanzania mainland to participate in Baraza la wawakilishi
+ to refrain from taking posts which are not belong to the union

Failure to fulfill the above requirements, the people of zanzibar will automatically be eliminated not only in the union but also possibly on the earth's surface since in absence of the union, separation between them will emerge, note that, separation is associated with war, and war means death, further, death means elimination of people from the earth's surface.

Anyway, though I started with jokes, on the other hand I was responding to the insulting language which 'Darwin' (above) had used to present his views. Indeed, the used language is unacceptable in this forum. We want this forum to be the forum of open- minded- people, people who can discuss and exchange ideas/views on matters pertaining to politcs, economies, social issues etc. Therefore, I would like to advise those who want to use such kind of language to register themselves in www.theutamu.blogspot.com. There, I hope, they can fit.
 
Globarch hakuna haja ya mijadala - na anayetaka kuanzia mijadala atakuwa amevunja sheria waziri mkuu alishatoa tamko la serikali watanzania wote wafuate hilo asiyekubali basi yeye haitakii mazuri nchi hii , ni kama muasi na fisadi wa kisiasa na mwaka 2010 atakokoma

Mjadala utavunja sheria gani?
 
Mkuu Field Marshal ES;

Kwanza sahihisha hakuna Rais wa Zanzibar... bali Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar!

Pili, Nakubaliana na MMK kwamba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni Serikali ndani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama zilivyo serikali nyingine nyingi za tawala za mikoa.

Nafikiri anayetakiwa kusahihisha ni wewe Kuna Rais wa Zanzibar na siyo Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Rais wa Zanzibar ndiye anayeteua Majaji wa Mahkama za Zanzibar na Ndiye anayewaapisha Majaji hao wa Mahkama, na Ndiye mdau (upande wa pili wa Baraza la Wawakilishi).
Pili nyinyi watu mnashangaza sana. Mnataka kuzungumzia Muungano ,bila ya kuzingatia historia yake, na kiini cha kuaasisiwa kwake. Mnamsahau kabisa Mwalimu Nyerere aliyeanzisha Muungano huu na mawazo na hisia zake, na ndio maana mnaelemea upande mmoja tu. Mnasahau kabisa upande ule unaochelea kutomezwa kwa "Zanzibar" ambao Nyerere siku zote aliuzungumzia na kuutetea kwa nguvu zake zote., Na si shangai kusikia maoni kuwa Eti SMZ ni sawa na Halmashauri ya Manispaa ya Sengerema. Jitahidini kuwa wachambuzi badala ya kuwa bla bla tu. Muungano wetu unahitaji check and balance. Kuzuia Zanzibar kuwa na madaraka ya kupindukia (kama Nchi ndani ya Muungano). Lakini kwa wakati huo huo kuzuia hofu ya kumezwa kabisa kwa Zanzibar (na Utaifa wake ndani ya Muungano) katika Muungano. Hiyo ndio dhana ya Serikali mbili inayolinda Muungano huu, ambao sote tunauuenzi na kuuendeleza.
 
Yesu alisema 'wasamahe kwani hawajui walitendalo'. Hivi huyo aliyejifanya 'Mzanzibara' anajua lolote kuhusu muungano? Achilia lugha chafu aliyotumia, huyu inafaa asaidiwe kwa kumuelimisha zaidi kuhusu hoja iliyopo kwenye meza yaani 'muungano'. Pole ndugu yetu omba uelezwe lakini sio kututisha na matusi yako.

Mkuu, kuna watu wengine hata ukiwaloweka mwaka mzima kwenye bwawa la elimu hawawezi kuelimika.
 
Mbunge Lucas Selelii jana ametoa mtazamo wake kuwa sasa imefika wakati Wazenji waache kulalamika kama vile wao ndo wanaonewa saana katika muungano huu. Akatoa tahadhari kuwa hata Wabara wana mambo mengi ambayo wamepoteza baada ya Muungano, lakini wanavumulia kwa kuwa ndo muungano unavyokuwa ikiwa ni pamoja na kupoteza serikali ya Tanganyika. Akasema kuwa hata kiitifaki, utaratibu wa sasa unaofanywa na Znz si sahihi, lakini Wabara wako kimya tu.

"Hivi mnadhani sisi hatujui kuongea au ni kitu gani hasa?" alisema jana Bungeni.

Akatoa hoja kuwa, anadhani sasa ama Muungano uvunjwe, jambo ambalo hata yeye halipendi, ama iundwe serikali moja tu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mawazo haya yanashabihiana na mawazo ya G55, na hata leo Kasaka karejea maoni yao kuwa pengine sasa iundwe serikali moja tu, ili kumaliza choko choko.

Selelii akasema kuwa hata katiba ya nchi inaeleza wazi kuwa PM wa URT ndo mtendaji na kiongozi mkuu wa shughuli za URT. Katiba inaonyesha mipaka ya URT Zanzibar ikiwemo. Kwa msingi huu, Akaunga mkono kuwa ni wazenji ndo wanaotakiwa kumuomba radhi PInda na si Mwakyembe kuwaomba radhi wao.

Wote wawili wamesema kimantiki, katiba ya Zanzibar haiwezi kuwa juu ya katiba ya URT kwa sababu katiba ya Zanzibar imeundwa kwa katiba ya URT Ibara ya 102, inayotoa idhini ya kuundwa serikali ya zanzibar na katiba yake.

Sasa nadhani mjadala unaelekea kutamu. Ni dalili kuwa vuguvugu la muundo mwingine wa serikali linaibuka upya.

Seleli ana mawazo mgando ya kuimeza Zanzibar ndani ya Muungano. Waasisi walikemea sana mawazo kama hayo. Kupiga mbiu kuimeza Zanzibar ndani ya Muungano ni kitendo cha uhaini kama vile ulivyo uasi wa kutaka kujitenga. Mheshimiwa Seleli upo?
 
Mzee nipe sababu kubwa tatu kwanini Unguja na pemba sio mikoa, sio za kikatiba nataka.

Angalia idadi ya watu
Uchumi
Eneo


Asante

Mkuu!
Nimezungumzia Zanzibar na si Unguja na Pemba! Kama hauwezi kusema Tanzania bara ni mkoa, vile vile kwa Zanzibar! Haina haja ya sababu tatu.
 
Jamani hapa si uwanja wa matusi....kama huna hoja tuliaa...uangalie game linavyochezwa...
 
nchi inakwenda kuzuri...if watu wataanza kujadili tulipotoka na tunapotaka kwenda...Mwanzo wa Mjadala wa Seleli si mbaya, Najua kazungumza kwa jazba, lkn kauli yake ni vema ifanyiwe kazi...Tuujadili Muungano, yapi tuyaweke ktk Muungano na kila mmoja atanufaika vipi na ataathirika vipi..Ni ktk Kweli Muungano Kila mmoja ataloss na Kugain, lkn inapofikia mmoja kulalamika, basi malalamiko yake ni ya Kufanyiwa kazi...

Muungano huu wa nchi 2 hauna tofauti na Muungano wa Mume na Mke...
Nafikiri watetezi wa Mwalim Nyerere..kama wapo itabidi wamuwajibishe Seleli...
 
wanajamii f , kwa mara ya kwanza , naomba kutoa maoni yangu kama ifuatavyo

jamani tuwasikilze vizuri wazanzibar wanavyo sema , ujanja wa bara kuimeza nchi ya Zanzibar wameshitukia , zanzibar si mkoa ni nchi , kuna wakuu wa mikoa pia zanzibar, wameshaona pia ni vigumu Rais wa muungano kutoka zanzibar kutokana na ukubwa wa nchi. waacheni wadai nchi yao
 
Kwa kuwa muungano uliundwa bila wananchi kutakiwa kutoa maoni yao, na kwa kuwa G55 walinyamazishwa kiaina, kwa hiyo cheni sasa watu waseme ili tuone kasoro zilizopo na kujipanga kufanya marekebisho.
Watu wakizuiwa mawili makubwa yataokea. Kwanza, hatutaweza kujua kasoro zilizopo hivyo kushindwa kujia aina ya marekebisho yanayotakiwa. Pili, mawe yatapiga kelele
 
Lucas Selelii ni mwananchi na zaidi ya hapo ni mwakilishi wa wananchi bungeni na kwa hiyo ana kila haki ya kutoa maoni yake.Kama mbunge hawezi kutoa maoni yake nani ataweza?

Kusema "kila Mtanzania awe na msimamo wa Waziri Mkuu" ni collectivism ya hali ya juu, kama ni hivyo kwa nini tuna bunge basi? Si Waziri Mkuu angeamua mambo yote?

Kuna watu wanaoweza kupata courage ya kusema yasiyosemeka ambayo kila mtu anayajua, pointing out the proverbial elephant in the room, saying the emperor has no clothes while most praise his tailor.

Mr. Selelii is proving to be one of the last of this dying breed.

Pundit.. it reminds me of the the "conscience of one" ya maborg... !
 
Kwa nini tunakua na mawazo ya "kuimeza Zanzibar"?Mbona Tanganyika ishamezwa na no one give a damn about it?Hapa ni kuangalia lililo sahihi kimaendeleo na hata kiudugu.Suala la kuimeza Zbar ni uoga au ni hoja mficho ambayo wenye kuitetea wana ajenda binafsi za kimadaraka.
Hpa ni muundo unaofaa kimaendeleo ya jamii hii ya Tz iwe serikali moja mbili ama tatu
Shy acha kuziba watu midomo au umetumwa nini?
 
Ndivyo ilivyo na Fundi mchundo,

Postings zenu hapo juu zimeniacha midomo wazi.

Sidhani kama mlikusudia kuandika mlichoandika wakuu!.
 
Ndivyo Ilivyo,

Kama nia ni kuunguna kwa nini tusifikirie kuwa na serikali moja! kwa mfano baada ya miaka 2-10.

Sasa tujiandae... kwani Mzanzibar na Mtanganyika... anapata nini akiitwa hayo majina?

Mimi naungana na wale wanaotaka serikali moja...

Historia is nothing to us.... we shall put in book and we shall remember that once upon a time there was a Zanzibar and Tanganyika!
 
Pundit.. it reminds me of the the "conscience of one" ya maborg... !


Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaa,

Duh, unataka kunichekesha mpaka watu wanione mwehu hapa.

Yaani kama kuna jinsi ya kuiweka hii in a more concise way mimi siijui.

Dayum, utanifanya nizirudie kuziangalia tena!
 
Kweli wewe ni 'DARWIN' ngoja nikwambie,
The law (Constitution) that governing the present union between Tanganyika and Zanzibar is nearly equal to the law of natural selection 'the survival of the fittest' as was pioneered by 'Darwin' (hahahaaaaaaa!). What we see now is that, the people of zanzibar are not fit in the present union environment, if they want to fit therein, they should adhered to what the people of Tanganyika want them to do, for instance:

+ to recognize the URT PM
+ to acknowledged that waziri kiongozi has no voice in Tanzania mainland
+ to allow their oil to be shared
+ to be ready to receive only 3% of URT income
+ to agree that zanzibar is not a country but a mere region like Lindi
+ to allow MPs from Tanzania mainland to participate in Baraza la wawakilishi
+ to refrain from taking posts which are not belong to the union

Failure to fulfill the above requirements, the people of zanzibar will automatically be eliminated not only in the union but also possibly on the earth's surface since in absence of the union, separation between them will emerge, note that, separation is associated with war, and war means death, further, death means elimination of people from the earth's surface.

Anyway, though I started with jokes, on the other hand I was responding to the insulting language which 'Darwin' (above) had used to present his views. Indeed, the used language is unacceptable in this forum. We want this forum to be the forum of open- minded- people, people who can discuss and exchange ideas/views on matters pertaining to politcs, economies, social issues etc. Therefore, I would like to advise those who want to use such kind of language to register themselves in www.theutamu.blogspot.com. There, I hope, they can fit.

Inaonekana WAZANZIBAR wanaubaguzi sana,

Mimi ningewashauri huo wanaoita nafasi sawa serikalini na mgawao sawa wa mapato wangeanza kwanza na mgao sawa wa nafasi za serikalini kati ya PEMBA na Ungunja.Harafu waje pia mgao sawa wa fedha na maendeleo ya kiuchumi kati ya PEMBA na UNGUJA.wakimaliza hapo ndipo waje kutafuta mgawanyo sawa ktk serikali ya muungano.

Hakuna mkoa wala kanda ktk Tanzania bara ambapo hua nasikia wanalalamika mgawanyo wa wafanyakazi.

Zanzibar ningeshauri tuvunje muungano,Lakini kitu ambacho na % fulani muungano ukifa pia Zanzibar itakufa maana patatokea Nchi ya PEMBA na nchi ya Unguja.Huo ni mtazamo wangu tu.
 
Zanzibar ningeshauri tuvunje muungano,Lakini kitu ambacho na % fulani muungano ukifa pia Zanzibar itakufa maana patatokea Nchi ya PEMBA na nchi ya Unguja.Huo ni mtazamo wangu tu.

Ala. Na ukianzisha Tanganyika yako kuwa tayari kuanzisha na nchi za Ziwa Victoria Republic. Nyanda za Juu Republic, Unyanyem,be Republic, bilam ya kusahau Machinga Republic. Sawa.
 
Back
Top Bottom