Je ni mkataba wa bandari au makubaliano ya bandari? Je ni mkataba au makubaliano ya Tanganyika na Zanzibar?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
949
2,865
JE NI MKATABA WA BANDARI AU MAKUBALIANO YA BANDARI? JE NI MKATABA AU MAKUBALIANO YA TANGANYIKA NA ZANZIBAR?

Leo 13:15hrs 29/06/2023

Rais Museveni alipokuja Chato aliwahi kusema Watanzania tuna uhaba wa maneno ya kiswahili,Ukweli ni kwamba neno "mkataba" kwa kiswahili lina maana pana sana ukilitafsiri kwa kiingereza,kwa mfano, haya yote yana maana ya neno "mkataba": Contract, agreement, pact, memorandum of understandig, treaty nk.mkataba unapokuwa ni nchi na nchi, unaitwa "Treaty".Sasa sijui kwa nini tunaita "makubaliano ya bandari" na kwa nini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tulijikita sana kuuita "Article of Union" badala ya kuuita "Treaty of Union of Tanganyika and Zanzibar" ? Sasa kwa nini makubaliano haya tunayaita mkataba?

Ili makubaliano yawe mkataba ni lazima yakidhi vigezo fulani na vigezo vya makubaliano vinafaa kuitwa mkataba "Agreement is Contract" period! na moja ya sifa za mkataba (Contract) ili uitwe mkabata "Ni lazima;
(a) Uwe Unaweza kutekelezeka (implementation)
(b) Uwe na nguvu zenye msukumo wa kisheria (law enforced agreement) napenda kuweka bayana pasipo shaka "makubaliano ya bandari ndio mkataba wa bandari" na kuhusu Muungano wa Tanzania ni ''Mkataba halali wa Muungano'' na si habari ya ati kuwa ni 'Makubaliano ya Muungano' tu,tukumbuke kwamba bila ya makubaliano hakuna Mkataba (No Agreements means no Contract). Lakini kama ipo list ya vitu vinavyotekelezeka kwenye makubaliano maana yake hayo makubaliano ni mkataba tayari "mtiririko wa list ya Makubaliano (Agreements) upo means Mkataba (Contract exist),uwepo wa list ya mtiririko ni mambo yanayotekelezeka kisheria na kama yote yanaweza kupata tiba na nguvu zenye msukumo wa kisheria huo ni mkataba dhahiri.

-Makubaliano ambayo sio mkataba ni ya kuuziana bangi au madawa ya kulevya.

Kwa lugha nyingine nyepesi pengine "kila makubaliano sio mkataba" inaweza ku-apply pale tu ambapo labda makubaliano au mkataba (contract) wenyewe ni wa kuuziana bangi au mihadarati...kwa maana nyingine ni biashara ambayo haina uhalali,biashara isiyo tekekeleka kisheria,na wala makubaliano (Agreements) yake hayawezi kubeba heshima ya kutambulika kisheria,na wala kuweza kuwa na nguvu za msukumo wa kisheria (law enforcing agreement),Mantiki ya kuwa kila makubaliano sio mkataba "Not every Agreement is contract" DO NOT exist (Haipo)! Kwa maneno mengine if an agreement/s DO NOT FIT to be 'termed' under so called Contract, then; is NOT A CONTRACT. Period! Mkataba ni makubaliano ya kutekeleza Makubaliano,huo ndio Mkataba usisubiri iwe imeandikwa kiyunani ndio ukubali.

Leo nimalizie hapa,siku nyingine nitakuja na mengine kama "ndoa ni mkataba au makubaliano" "makubaliano ya kupangisha chumba"mfano umepangisha mtu chumba katika nyumba yako kwa makubaliano ya kulipwa mathalani Tshs.60,000.00 kila tarehe moja ya mwezi, kwa muda wa mkataba wa miaka miwili (including umeme na maji). Hayo ni makubaliano yenye uhalali na yenye kuweza kupata tiba, utetezi na msukumo wa kisheria endapo mkataba ama makubaliano (agreements) hayo yatakiukwa na upande mmoja wapo kati ya pande mbili zilizokuwa kwenye mkataba (contract),siku nyingine nitakuja kuelezea somo la mwaka wa kwanza wa sheria ambalo ukija mtaani practically utapata shida kidogo,
What is a contract?
What is an agreement?
What are the differences between Contacts and Agreements?
Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of business administration in International business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
Assessment on the Effects of Micro-financing on Poverty Reduction.
 
Majibu ni haya hapa
Is an IGA a contract?


An IGA is defined as a contract between two or more public agencies or public procurement units for services or for the joint exercise of any powers common to the agencies.
 
Tafakuri inatafakarisha sana;-

1. Kwanini mkataba umevuja kwa hatua za awali?
2. Je kuna mwananchi wa kawaida au hao walioingia mkataba ambaye ameuvujisha?
3. Baada ya tafakuri ya (2.) Umadhani nani kavujisha?
4. Je ni kweli kila jambo hutokea kwa makusudi maalum?
5. Unadhani ni makusudio gani waliyonayo wavujisha mkataba?
 
JE NI MKATABA WA BANDARI AU MAKUBALIANO YA BANDARI? JE NI MKATABA AU MAKUBALIANO YA TANGANYIKA NA ZANZIBAR?

Leo 13:15hrs 29/06/2023

Rais Museveni alipokuja Chato aliwahi kusema Watanzania tuna uhaba wa maneno ya kiswahili,Ukweli ni kwamba neno "mkataba" kwa kiswahili lina maana pana sana ukilitafsiri kwa kiingereza,kwa mfano, haya yote yana maana ya neno "mkataba": Contract, agreement, pact, memorandum of understandig, treaty nk.mkataba unapokuwa ni nchi na nchi, unaitwa "Treaty".Sasa sijui kwa nini tunaita "makubaliano ya bandari" na kwa nini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tulijikita sana kuuita "Article of Union" badala ya kuuita "Treaty of Union of Tanganyika and Zanzibar" ? Sasa kwa nini makubaliano haya tunayaita mkataba?

Ili makubaliano yawe mkataba ni lazima yakidhi vigezo fulani na vigezo vya makubaliano vinafaa kuitwa mkataba "Agreement is Contract" period! na moja ya sifa za mkataba (Contract) ili uitwe mkabata "Ni lazima;
(a) Uwe Unaweza kutekelezeka (implementation)
(b) Uwe na nguvu zenye msukumo wa kisheria (law enforced agreement) napenda kuweka bayana pasipo shaka "makubaliano ya bandari ndio mkataba wa bandari" na kuhusu Muungano wa Tanzania ni ''Mkataba halali wa Muungano'' na si habari ya ati kuwa ni 'Makubaliano ya Muungano' tu,tukumbuke kwamba bila ya makubaliano hakuna Mkataba (No Agreements means no Contract). Lakini kama ipo list ya vitu vinavyotekelezeka kwenye makubaliano maana yake hayo makubaliano ni mkataba tayari "mtiririko wa list ya Makubaliano (Agreements) upo means Mkataba (Contract exist),uwepo wa list ya mtiririko ni mambo yanayotekelezeka kisheria na kama yote yanaweza kupata tiba na nguvu zenye msukumo wa kisheria huo ni mkataba dhahiri.

-Makubaliano ambayo sio mkataba ni ya kuuziana bangi au madawa ya kulevya.

Kwa lugha nyingine nyepesi pengine "kila makubaliano sio mkataba" inaweza ku-apply pale tu ambapo labda makubaliano au mkataba (contract) wenyewe ni wa kuuziana bangi au mihadarati...kwa maana nyingine ni biashara ambayo haina uhalali,biashara isiyo tekekeleka kisheria,na wala makubaliano (Agreements) yake hayawezi kubeba heshima ya kutambulika kisheria,na wala kuweza kuwa na nguvu za msukumo wa kisheria (law enforcing agreement),Mantiki ya kuwa kila makubaliano sio mkataba "Not every Agreement is contract" DO NOT exist (Haipo)! Kwa maneno mengine if an agreement/s DO NOT FIT to be 'termed' under so called Contract, then; is NOT A CONTRACT. Period! Mkataba ni makubaliano ya kutekeleza Makubaliano,huo ndio Mkataba usisubiri iwe imeandikwa kiyunani ndio ukubali.

Leo nimalizie hapa,siku nyingine nitakuja na mengine kama "ndoa ni mkataba au makubaliano" "makubaliano ya kupangisha chumba"mfano umepangisha mtu chumba katika nyumba yako kwa makubaliano ya kulipwa mathalani Tshs.60,000.00 kila tarehe moja ya mwezi, kwa muda wa mkataba wa miaka miwili (including umeme na maji). Hayo ni makubaliano yenye uhalali na yenye kuweza kupata tiba, utetezi na msukumo wa kisheria endapo mkataba ama makubaliano (agreements) hayo yatakiukwa na upande mmoja wapo kati ya pande mbili zilizokuwa kwenye mkataba (contract),siku nyingine nitakuja kuelezea somo la mwaka wa kwanza wa sheria ambalo ukija mtaani practically utapata shida kidogo,
What is a contract?
What is an agreement?
What are the differences between Contacts and Agreements?
Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of business administration in International business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
Assessment on the Effects of Micro-financing on Poverty Reduction.
This 'Agreement' or 'Contract'' given the fact is written in a document it has several binding clauses therefore it is enforceable by the law.
*The key difference between contracts and agreements is that a contract is a form of agreement that is always legally enforceable. An agreement can be a contract, as long as it has all the elements of a contract that makes it enforceable
 
Kuna kitu hakiko Sawa I can assure you!

Tuanze hapo what's treaty mean?

Mkataba maana yake nini?

Bunge linapitisha treaty?

Je wabunge wanajua walichopitisha na kubariki kweli?
 
Hapa umetuelewesha nini?? Au ndo umeamka na BBC?
F1KeXDpWwAID6cE.jpeg
 
Anyway, tunahitahi hoja hizi zijibiwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Anyway, tunahitahi hoja hizi zijibiwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Wao wanasema CCM mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom