Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,093
- 22,817
Zanzibar ni kama katoto kadogo kama alivyobainisha Mwalimu Nyerere wakati wa uhai wake. Mtu mzima unakapakata katoto halafu kanakunyea -eti lazima uendelee kukabembeleza kwa sababu ukikakoromea kidogo tu kataanza kulia myee, myee !! Hapa mie naona JMK yuko sahihi ingawa sina hakika kama ni kwa kudhamiria (kwani hekima hiyo hana). Zanzibar haina hata sifa ya kuwa mkoa lakini basi ni katoto - lazima kabembelezwe. Nchi ? My foot.