Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Wana JF
Ninavyoona mimi Hoja za mwakyembe hazina mashiko hata kidogo, kama sikumnukuu vibaya amesema kuwa ilikuwa shamhuna afikirie dhana ya collective responsibility na asipinge kauli ya PM Mizengo Pinda ,OKAY. Sasa hapa ninapata kigugumizi..... collective responsibility ipi aliyoikusudia Harison Mwakyembe kwa sababu kama ni utendaji wa Baraza la Mawaziri Shamhuna hahusiki na baraza la mawaziri la T/bara au pengine kuna mantiki mengine yaliyiojificha. ......... Sijui, lakini nafikiri kama Mwakyembe hataki kuelewa mipaka ya kiutendaji kati ya SMZ/ SMT/bunge/ baraza la wawakilishi hio ni kasoro kubwa akiwa yeye ni mwanasherisa wa kuheshimika.
La pili, Kwa mtazamo wa haraka hoja hii ya znz ninchi, wilaya au handeni, biharamulo, haipewi nguvu si tu ndani ya bunge au kwenye vyombo vya habari. Inaonekena wazi wazi kuwa Spika anamlinda PM pinda asijibu hoja yoyote ile inayohusiana na sakata hii. Kwa nini? Hapana jawabu ya mkato lakini ni mkakati tu wa SMT(Serikali ya Muungano) kukandamiza uhuru wa mawazo kwa wabunge wetu kule bungeni. Je hili Mwanasheria Mwakiyembe ameliona na kulikemea ?????
Ukifuatilia ktk media za bara, utaona kuwa vyombo vyote vya habari haviko objective and neutral katika kuielezea sakata hii ya znz ikielekea kuwa ni wilaya ya handeni / babati. Wahariri wanaendeleza ajenda ya kutulaumu sisi wazanzibari eti hatutaki muungano na hawataki kuandika makala za kiuchambuzi ambazo zingeeleza mambo mengine ambayo yako nje ya boksi na hayapewi nafasi.
Lililobaki, ni sisi wananchi kuja na activism ya hali ya juu na tuoneshe wazi kuwa hatutaki muungano kabisa na sio tu ufanyiwe marekebishao. Wanasiasa wamejitahidi na wanaendelea kujitahidi kuunda jukwaa la kueleza maoni yao na inapasa tuwaunge mkono kwa juhudi zao.
Ninavyoona mimi Hoja za mwakyembe hazina mashiko hata kidogo, kama sikumnukuu vibaya amesema kuwa ilikuwa shamhuna afikirie dhana ya collective responsibility na asipinge kauli ya PM Mizengo Pinda ,OKAY. Sasa hapa ninapata kigugumizi..... collective responsibility ipi aliyoikusudia Harison Mwakyembe kwa sababu kama ni utendaji wa Baraza la Mawaziri Shamhuna hahusiki na baraza la mawaziri la T/bara au pengine kuna mantiki mengine yaliyiojificha. ......... Sijui, lakini nafikiri kama Mwakyembe hataki kuelewa mipaka ya kiutendaji kati ya SMZ/ SMT/bunge/ baraza la wawakilishi hio ni kasoro kubwa akiwa yeye ni mwanasherisa wa kuheshimika.
La pili, Kwa mtazamo wa haraka hoja hii ya znz ninchi, wilaya au handeni, biharamulo, haipewi nguvu si tu ndani ya bunge au kwenye vyombo vya habari. Inaonekena wazi wazi kuwa Spika anamlinda PM pinda asijibu hoja yoyote ile inayohusiana na sakata hii. Kwa nini? Hapana jawabu ya mkato lakini ni mkakati tu wa SMT(Serikali ya Muungano) kukandamiza uhuru wa mawazo kwa wabunge wetu kule bungeni. Je hili Mwanasheria Mwakiyembe ameliona na kulikemea ?????
Ukifuatilia ktk media za bara, utaona kuwa vyombo vyote vya habari haviko objective and neutral katika kuielezea sakata hii ya znz ikielekea kuwa ni wilaya ya handeni / babati. Wahariri wanaendeleza ajenda ya kutulaumu sisi wazanzibari eti hatutaki muungano na hawataki kuandika makala za kiuchambuzi ambazo zingeeleza mambo mengine ambayo yako nje ya boksi na hayapewi nafasi.
Lililobaki, ni sisi wananchi kuja na activism ya hali ya juu na tuoneshe wazi kuwa hatutaki muungano kabisa na sio tu ufanyiwe marekebishao. Wanasiasa wamejitahidi na wanaendelea kujitahidi kuunda jukwaa la kueleza maoni yao na inapasa tuwaunge mkono kwa juhudi zao.