Pole sana dada,nafahamu machungu Hayo jinsi yalivyo dada Zangu Mimi ni hivyo hivyo yaani wakorofi kinoma,lakini nilipogundua ujinga wao hou nikawapigA stop,piga magoti uombe kaka yetu atafahamu hayo siku moja,kweli inauma sana,lakini vumilia sana na usidanganywe na mtu yoyote kuisaliti ndoa yako,maana Hiyo itakudhalilisha na kurahisisha kazi yao