Mume wangu amenitenga baada ya kupinga manyanyaso ya ndugu zake

Pole sana dada,nafahamu machungu Hayo jinsi yalivyo dada Zangu Mimi ni hivyo hivyo yaani wakorofi kinoma,lakini nilipogundua ujinga wao hou nikawapigA stop,piga magoti uombe kaka yetu atafahamu hayo siku moja,kweli inauma sana,lakini vumilia sana na usidanganywe na mtu yoyote kuisaliti ndoa yako,maana Hiyo itakudhalilisha na kurahisisha kazi yao
 
Kama mwanaume haelewi lugha rahisi unayoongea wewe ya kumuelewesha, heb jaribu kuongea lugha anayoiongea yeye nakuhakikishia atapata ujumbe na utamkaa

halaf punguza kulia lia, jitahdn kuwa ngangari, najua kuna wakat kweli unapata uchungu, kalilie hata chooni huko ila siyo mbele yake
tafuta kitu cha kufanya hata kucheza na watoto, chochote mrad usiwe idle, coz hyo ndiyo inafanya umfikirie...
usipotze mda wako na yeye ongea nae yale ya msingi, na hakikisha huduma zingine zote za msingi kama mke na mama wa familia unazitoa,usiache kutimiza wajib wako ila usimnyenyekee tena,

nimewah kujarib hii, ilifanya kaz vzur sana kwangu, hope itakusaidia na ww,
unajua Kongosho ndo maana huwa nasemaga nina roho mbaya, yaani kuna wakati sifai kumshauri mtu hasa kwenye jambo kama hili. hakya Mungu angeondoka yeye humo ndani kwani huwez kumfungia vioo? kaa nyumbani mwako stail iwe ya dont see me. bize na kazi zako akitaka atafute pa kweda na siku akikusemesha moto ndo uwake uwwiiiiiiiiiiii

yaani miye nilifanya mtu hadi aka hire private investigator alihisi nitamwua kwa mchuno niliopiga bize na wanangu yeye akawa kama fenicha tu ndani na akaumia zaid kaleta kahaba nikawa ngangari sikulia tmekula kila mtu 50 zake ikawaka taa ya njano kwenye fahamu zake na hivi huyu ni mpalestina hakya Mungu ataniua hawez akawa binadam. kumbe nilitaka kumuonyeshe mimi nikisha ingia ndani sitoki labda kwa kifo na manyanyaso huko huko ndani huwez manake sikuombi hata 100 na msosi natafuta mimi kila kitu. pita nenda kwa rum na kahaba na mimi naenda kwa rum na wanagu manina wakllah mbona alisalim amri.

ukaksi ukaksi tu kama vipi achukue time yeye ila si mimi.
 

kwa mkoa wa Mara mbona hiyo kawaida sana?? hapo kipi cha kushangaza? huku kwetu tushazoea hayo mambo ni ya kawaida tu.....nataka hii stori iwe balanced,basi....hatuwezi kuyafanyia kazi maelezo ya mtu mmoja....

kwa hiyo unataka na mume wake aje kutoa maelezo ndo umshauri?
 
mtoa mada za asb?tunaomba mrejesho yaliyojiri tangu jana usiku baada ya kufuata ushauri uliopewa!
 
Pole mrembo,naomba nikulize swali,Unampenda sana mume wako? uko tayari kufanya lolote kwa ajili yake na watoto wako?
 
Back
Top Bottom