nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Hivi unadhani wote tunao comment humu tuna ndoa za msikitini. Siku hizi hakuna cha until death...mambo yakifika shingoni unasepa tu...Huku unafanya reference kwenye kosa la uzinzi linavyoruhusu divorce.
Hivi unataka kunambia hujaona Wakristu walo divorce??? Ndoa ilikuwa kifungo mwaka 1947 si leo.
Hivi unataka kunambia hujaona Wakristu walo divorce??? Ndoa ilikuwa kifungo mwaka 1947 si leo.
Me naomba niulize,hivi kama huyu dada angekuwa amefunga ndoa ya kikristo angefanyaje?inamaan asingeweza kuachika mpaka mmoja afe?na asingeweza kuolewa tena?na kama angepata man mwingine angeishi nae tu lakini bila kutambulika kama ni mke?naomba nielimishwe wadau..