huyu binti story zake huwa sizielewi kabisa, sijui alikulia kwenye friji??
Pamoja na machungu yake bado huwa namuona hazitoshi hivi au anaishi kwenye kisiwa kuwa yeye hana ndugu hata mmoja??
Ngoja niondoke hapa nitachafua hali ya hewa bure wakati ni mzazi huyu.
jitathmini dada..nahisi kuna kitu kimejificha ndani yenu.......halafu hapa hii story inatakiwa kuwa balanced,inatakiwa tupate na maelezo ya upande wa pili....
Mimi siamini kama kuna mwanaume anaweza kuwa katili kiasi hicho with no reason....
Lazima kuna kitu hapo....TUAMBIE VIZURI DADA ANGU
huyu binti story zake huwa sizielewi kabisa, sijui alikulia kwenye friji??
Pamoja na machungu yake bado huwa namuona hazitoshi hivi au anaishi kwenye kisiwa kuwa yeye hana ndugu hata mmoja??
Ngoja niondoke hapa nitachafua hali ya hewa bure wakati ni mzazi huyu.
Sasa kinachokushinda kumuacha ni kitu gani? Kama ungekuwa huna ndugu ningesema, lakini kama una ndugu zako wakusaidie ili uweze kumwacha mwanaume huyo mnyanyasaji.ndugu ninao 2.Tulifunga ndoa ya kiislam
Habarini ndugu zangu...nilishawah kuja hapa kuwaelezea manyanyaso niyapatayo kwa mama na dada wa mume wangu,Mkanishauri na kweli nilisimama na kusema NO!
Kilichofuata ni visa toka kwa mume wangu,ikapelekea yeye kuninyima hela za matibabu nilipokua mjamzito ambapo nilikua naumwa na kulazwa mara kwa mara,ikalazmika niwe najihudumia matibabu mwenyewe,nilijitahidi sana kuvumilia lakini kila nilipotoka hosp. Nilikua narudishwa wiki chache baadae na kulazwa tena na nilikua nableed na mimba ilikua inataka kutoka, kwa kweli niliteseka sana yani sana na ujauzito kwani Mume wangu alikua ananinyanyasa saana.
na kutokana na kulia mara kwa mara kitovu cha mtoto kikajisokota shingoni mwake na kumfanya aheme kwa shida na akawa hachezi tena,Nikaamua kwenda hosp. Kuwaeleza wakanifanyia utrasound na kugundua kuwa mapigo ya moyo ya mtoto yanaenda taratibu sana na huenda mtoto akafia tumboni muda mchache,Wakaniambia wananifanyia upasuaji mda uleule ili wajaribu kumwokoa mtoto,(wiki ya 33 ya ujauzito)
walinipasua na kunitoa mtoto wa kiume lakini alikua hawez kuhema vizuri,Wakamwekea oksjen ikamsaidia na anaendelea kukua vzuri...,Baada ya kujifungua visa ndo vimezidi,Mume wangu amenitenga kbs hataki kuskia habari zangu wala za mtoto, na alishanifukuza chumbani kwetu siku nyingi toka nikiwa na ujauzto wa miez 5 mpaka sasa,nimemwambia km hanihtaji anipetalaka nirudi kwetu watoto nitalea mwenyewe,Hataki,
NIFANYEJE JAMANI NAOMBENI USHAURI
anasema kwanini nilikataa kuhamia kijijini nikaishi nimlee mama yake....ni kweli niligoma kumwacha mume wangu mjini na kwenda kuish kijijini na mama mkwe,jambo ambalo lilileta chuki na hasira kwa wifi zangu na mama mkwe mpaka kufikia hatua ya kumshawish kaka yao aniache aoe mke mwingine, na ndipo nilipomwambia kabla hajaoa aniache kwanza mimi ndipo aoe,Akakataa
anasema kwanini nilikataa kuhamia kijijini nikaishi nimlee mama yake....ni kweli niligoma kumwacha mume wangu mjini na kwenda kuish kijijini na mama mkwe,jambo ambalo lilileta chuki na hasira kwa wifi zangu na mama mkwe mpaka kufikia hatua ya kumshawish kaka yao aniache aoe mke mwingine, na ndipo nilipomwambia kabla hajaoa aniache kwanza mimi ndipo aoe,Akakataa
unajua Kongosho ndo maana huwa nasemaga nina roho mbaya, yaani kuna wakati sifai kumshauri mtu hasa kwenye jambo kama hili. hakya Mungu angeondoka yeye humo ndani kwani huwez kumfungia vioo? kaa nyumbani mwako stail iwe ya dont see me. bize na kazi zako akitaka atafute pa kweda na siku akikusemesha moto ndo uwake uwwiiiiiiiiiiii
yaani miye nilifanya mtu hadi aka hire private investigator alihisi nitamwua kwa mchuno niliopiga bize na wanangu yeye akawa kama fenicha tu ndani na akaumia zaid kaleta kahaba nikawa ngangari sikulia tmekula kila mtu 50 zake ikawaka taa ya njano kwenye fahamu zake na hivi huyu ni mpalestina hakya Mungu ataniua hawez akawa binadam. kumbe nilitaka kumuonyeshe mimi nikisha ingia ndani sitoki labda kwa kifo na manyanyaso huko huko ndani huwez manake sikuombi hata 100 na msosi natafuta mimi kila kitu. pita nenda kwa rum na kahaba na mimi naenda kwa rum na wanagu manina wakllah mbona alisalim amri.
ukaksi ukaksi tu kama vipi achukue time yeye ila si mimi.
....,Baada ya kujifungua visa ndo vimezidi,Mume wangu amenitenga kbs hataki kuskia habari zangu wala za mtoto, na alishanifukuza chumbani kwetu siku nyingi toka nikiwa na ujauzto wa miez 5 mpaka sasa,nimemwambia km hanihtaji anipetalaka nirudi kwetu watoto nitalea mwenyewe,Hataki,
NIFANYEJE JAMANI NAOMBENI USHAURI