Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,085
Mi nataka mtoto/watoto wengine wanne lakini mama hataki, yeye anataka mmoja tu.... nikaamua ili ukoo wangu usipotee nikajipatia kamoja ka nyongeza huko nje... je kuna tatizo gani??
Kweli wanaume tunatabu sana na hizi ndoa , yaani mpaka inafikia hatua naenda nje ili kupata mtoto , kisa mama hataki? inanisikitisha sana...:angry:
Kweli wanaume tunatabu sana na hizi ndoa , yaani mpaka inafikia hatua naenda nje ili kupata mtoto , kisa mama hataki? inanisikitisha sana...:angry: