Mukama ameikejeli Katiba!

Barua ya kujiuzulu hakuandika kwa hiari yake alilazimishwa kujiuzulu baada ya kuonekana ni msaliti wa nchi. Gabbage in Gabbage out, unategemea chama kilichoanzishwa na msaliti wa nchi, na chenyewe kitakuwa kisaliti tu


We kweli ni mtoto wa juzi............... nenda kamuulize baba yako akupe hadithi. Kwa kifupi tu.......... Aliyoshauriwa Nyerere na kuyakataa alikuja kuyakubali ndani ya kipindi kisichopungua miaka 10. Uzuri Nyerere hakuwa king'ang'anizi kama akina JK, alipogundua nchi imemshinda akamua kung'atuka 1985. JK dunia nzima imeshajua ..... lakini bado anang'ang'ania tu kisa miashara za ikulu!!!!
 
Acha uzushi, leta data na source!
‘………………………chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha’.

Kauli ya Mukama

My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
  1. CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
  2. Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
 
Viongozi wa sasa wana mengi ya kujifunza kutoka kwa Mtei. Mtei hakukubaliana na sera za Mwalimu kuhusiana na Uchumi. Ishu ilikuwa kushusha thamani ya shilingi ili TZ ikopeshwe na IMF. Mwalimu hakupenda hili, kwa kujua hulka ya Mwalimu na kwa utashi wake akaandika barua ya kujiuzulu akaenda kumpa Mwalimu nyumbani kwake Msasani. Alipofika aliulizwa kama hajakutana na mtu wakati anakwenda kwa Mwalimu. Mtei akajibu hajakutana na mtu. Mwalimu nae alikuwa ameshamwandikia barua akimtaka ajiuzulu, Mtei alipishana na mtu aliyekuwa ampe barua kutoka kwa Mwalimu. Mtei alikubaliwa kujiuzulu na baada ya muda alipewa nafasi nyingine serikalini. Kitu cha kujifunza hapa ni kusimamia unachoamini, maana sera za Mtei zilikuja kutekelezwa muda si mrefu baada ya yeye kujiuzulu. Nchi gan maskini leo haitekelezi masharti ya IMF? Serikali haikopi fedha IMF?

Viongozi wetu siku hizi hawawezi kusimamia wanachoamini, tena wapo wengi. Kuna Celina Kombani, Werema na wengine wengi. Enzi za Mwalimu hawa wote wangejiuzulu. Fikiria Rais Kikwete anashauri mtihani wa darasa la nne na kumi (form two) usiwe kikwazo cha mtu kuendelea na masomo, hakuna hata mtaalamu mmoja wa elimu pale wizarani aliyempinga (kuna maprofesa wengi tu pale) kwamba hatuna namna nyingine ya kupima uelewa wa wanafunzi na kuwasaidia. Kurudia darasa si adhabu, ni kumpa mwanafunzi nafasi ya kujifunza tena ambacho hakuelewa. Wanabaki wanasema chini chini kwamba hapa ushauri wa mkuu sio mzuri.

Chadema inafadhiliwa na mataifa ya nje. Je bajeti ya serikali yetu nani anachangia? Mataifa ya nje ni mabaya kwa chadema ila mazuri kwa Serikali? CCM inafadhiliwa na nani kama sio kodi zetu kupitia EPA, Kagoda, Richmond na Meremeta? Mikataba mibovu ya madini wamesaini chadema? Nani kawapa mabepari migodi na mashirika yetu kwa bei karibu na bure? Mangungo wa Msovero ni nani leo hii?

It sound like history ! ngoja ni print nikawape watoto wa darasa la nne
 
‘………………………chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha’.

Kauli ya Mukama

My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :

  1. CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
  2. Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
Kansa uliyonayo imeshafika kwenye ubongo na hivyo huwezi kupona hata kwa kikombe cha babu. Walioua watu Arush ni Chadema au CCM? Wasio na nidhamu bungeni ni CCM, hawakai bungeni, hawajadili hoja kwa masilahi ya wananchi waliowatuma. Huo ndo utovu wa nidhamu. Chadema huwa wanahoji pale panapoleta utata ili parekebishwe lakini wasio na nidhamu huunga mkono hata bila kujua hoja iliyopo mbele yao kisa tu wamepigiwa kengele warudi ukumbuni kuongeza kura za CCM. Pole sana unayejiita Genius japo ni vise versa yake.
 
Nilifikiri baada ya kuondoka makamba basi ngojera na taarabu zitakwisha kumbe na huyu naye bado tu? Kweli kobe hawezi kuvua gamba lake!
 
Kansa uliyonayo imeshafika kwenye ubongo na hivyo huwezi kupona hata kwa kikombe cha babu. Walioua watu Arush ni Chadema au CCM? Wasio na nidhamu bungeni ni CCM, hawakai bungeni, hawajadili hoja kwa masilahi ya wananchi waliowatuma. Huo ndo utovu wa nidhamu. Chadema huwa wanahoji pale panapoleta utata ili parekebishwe lakini wasio na nidhamu huunga mkono hata bila kujua hoja iliyopo mbele yao kisa tu wamepigiwa kengele warudi ukumbuni kuongeza kura za CCM. Pole sana unayejiita Genius japo ni vise versa yake.

Mauaji ya arusha yaliisha ongelewa sana humu na chanzo ni CDM. Kuhusu bungeni Spika , Katibu wa bunge wameisha sema hawajawahi kuona bunge bovu kama hili kwa wabunge wa CDM kuuza sura badala kujadili hoja
 
wenye elimu za mashaka pona yao iko ccm..........by Ben jf
 
christian church mission aka ccm, kidogo mtoa hoja unanipa mashaka na kunifanya niamini kuwa wewe ni mmoja kati ya wsle mamluki lukuki mli tumwa kuja kukabiliana na hichi kimbunga cha mabadiliko kinachoongozwa na CDM aka Nguvu ya umma ,na ningeona wa mana ungeanzisha thread ya kupinga serikali yako inayoongozwa na Magamba inayochukua mikopo na misaada toka huko IMF kwa masharti magumu yasiyo na tija kwa taifa letu kuliko kuja na propaganda zako na CDM pekee ndio ina sera za kumuenzi baba wa taifa Elimu bure,Afya bure nk ambavyo nyie Magamba vinawashinda kufanya kutokana na ndoa zenu na mashika kama IMF kuwabana.
 
Inaonekana wachangiaji wengi mnabeba huyu mtoto CDM kama glasi kwa tahadhari kubwa na hamtaki kusikia tofauti na "peoples' power" kwa kweli maji ya bendera ya CDM yamelogesha, itawabidi muanze safari ya Samunge mkapate kikombe cha BABU. Ukweli Ndio Huo CDM kina mkono wa IMF hivyo MTEI alipewa kazi maalum na Viranja kusajili chama ili wao waweze kupenyeza mawazo yao na kukidhi mahitaji yao!
 
‘………………………chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha’.

Kauli ya Mukama

My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
  1. CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
  2. Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk

imekaa kinafiki weka vielelezo
 
Jamaa anaongea kama walimu wa Biologia hasa wafundishapo classification, utasikia nyoka kawaida yake ni kujivua gamba ifikapo muda fulani, mara anasema maswala ya baridi na damu kuganda na mifano mingine ambayo hailandani.
Kweli jamaa ni mwalimu sio mwanasiasa kabisa.
 
‘………………………chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha’.

Kauli ya Mukama

My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
  1. CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
  2. Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk

GeniusBrain kwanza nina mashaka na uelewa wako juu ya mzee Mtei na maswala kadhaa ya nchi yetu, kwa taarifa yako ccm ni wazuri sana wa kuunda/kutengeneza kashfa na kama mzee Mtei angekuwa ameachana na mwal Nyerere kwa hila au ghiliba basi ungeshazisikia siku nyingi habari zake na wala si leo, mzee Mtei alishindwa kuelewana na mwl Nyerere katika mbinu za kurekebisha uchumi na wala si vinginevyo (hivi unajua kwanini Kenya wametupita kwa sarafu yao kwa kasi namna hii, hebu tafiti inaanzia enzi hizo za Mtei ku-resign)
Sasa labda tujadili swala la cdm kutoka nje

1. Hivi unajua ukisema chama kinatoka nje inamaana kwamba kina usajili wa nchi nyingine labda ili tuchambue vizuri inabidi utujulishe kwanza kilisajiliwa wapi kabla ya kusajiliwa Tanzania.

2. Unaposema kukorofishana na mwl Nyerere ni kukosa adabu na akili sijui mtazamo wako ila labda niweke hivi tu kwamba kuna wengi walitofautiana na mwl Nyerere kwakuwa yeye hakuwa Mungu ila mwanadamu na alikuwa na makosa mengi na kama sivyo basi hatukupaswa kuongozwa na wengine angetawala milele, kumbuka chief Sarwat alitofautiana na mwl Nyerere hata akagombea ubunge kwa tiketi ya mgombea huru.

3. Hivi unajua nani aliyeleta maafa maandamano ya Arusha?? inavyoonekana wewe upo mbali na nchi hii, ungekuwa karibu wala hili usingelisema maana ccm kupitia spika wa bunge pia wameamua kunyamaza vinginevyo leo ushahidi wa Lema ungekuwa hadharani.

Ndg yangu hata jina lako linaonyesha jinsi unavyotumia ubongo wako vema kwa maana hakika nakushangaa, sasa ulitaka tujadili mada badala ya kuropoka naomba uniambie tu hao wanaojiita “intelijensia” sijui kama unajua wamekuwa wakifanya kazi kwa manufaa ya ccm na ndio chanzo cha mauaji ya Arusha, Pemba na kwingineko kutokana na taarifa zao kuwa za kisiasa badala ya maslahi ya nchi.

Sikushangai sana maana Tanzania ina watu waajabu kama wewe wengi tu, hata ccm ingewachukulia mpaka wake zao, watoto na kila kitu lakini bado wanaona ni sawa, wala sikuombei ufunguke, ila elewa tu kizazi tunacholea sasa hakitataka kusikia wala kuiona ccm..
 
‘………………………chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha’.

Kauli ya Mukama

My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
  1. CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
  2. Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
Kushindwa kuelewana na mtu sio dhambi, na believe me, deep down wewe mwenyewe ni shahidi ni watu wangapi umetofautiana nao kimtizamo.Mwalimu wasn't an angle hivyo sio kila alichokua anafikiria kilikua right.Kingine wewe sio reliable source so hatuna sababu ya kuamini upuuzi wako. Put down your facts else shut the **** up.
 
christian church mission aka ccm, kidogo mtoa hoja unanipa mashaka na kunifanya niamini kuwa wewe ni mmoja kati ya wsle mamluki lukuki mli tumwa kuja kukabiliana na hichi kimbunga cha mabadiliko kinachoongozwa na CDM aka Nguvu ya umma ,na ningeona wa mana ungeanzisha thread ya kupinga serikali yako inayoongozwa na Magamba inayochukua mikopo na misaada toka huko IMF kwa masharti magumu yasiyo na tija kwa taifa letu kuliko kuja na propaganda zako na CDM pekee ndio ina sera za kumuenzi baba wa taifa Elimu bure,Afya bure nk ambavyo nyie Magamba vinawashinda kufanya kutokana na ndoa zenu na mashika kama IMF kuwabana.

Nilijua tu utafika kwenye vitu vya bure bure, ndio falsafa ya CDM. Fanya kazi ww , acha kupenda vitu vya bure bure uta.......... shauri yako !
 
Jamii Forums inasomwa na watu wengi sana ndani na nje ya Tanzania. Na wasomaji hawa wapo watanzania na wasio watanzania ili mradi wanaelewa kiswahili. Hili jukwaa linatupa nafasi nzuri ya kutoa maoni na michango ambayo kimsingi ni ya kujenga taifa hata kama ni kukosoa basi ni constructive criticism. Na ndio sababu watu wanasema ni jukwaa la 'great thinkers'.

Vyama vya siasa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vipo kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi. Na vyote vinasajiliwa baada ya kutimiza masharti yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria husika. CCM, CUF, CHADEMA, NCCR-Mageuzi, TLP, NLD, DP, Demokrasia Makini vyote hivi vimesajiliwa baada ya kutimiza masharti yaliwekwa.(wasiliana na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kupata nakala). niishie hapo.

IMF - nadhani unaongelea International Monetary Fund ni taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na maswala ya kifedha na uchumi kwa nchi wanachama. Narudia - nchi wanachama. IMF wanachama wake ni NCHI na sio chama au kikundi kimoja kimoja. NCHI.

@GeniusBrain, naomba usome hii "IMF is an organization of 187 countries, working to foster global monetary cooperation, secure financial stability, facilitate international trade, promote high employment and sustainable economic growth, and reduce poverty around the world".

Tanzania ni mwanachama wa IMF na ndio maana tumekuwa tumapata mikopo huko. CHADEMA hata CCM au chama kingine chochote hakiwezi kuwa mwanachama wa IMF hata kama wangetaka iwe hivyo.

Nirudi kwenye point yangu ya msingi, Ndugu yangu GeniusBrain hoja yako si tu ni aibu kwako binafsi bali pia inatuibisha watanzania wote (milioni 42 na ushee), kwamba, hatujui maudhui na kazi za taasisi za kimataifa kama IMF. Na mbaya zaidi hatujui hata vyama vya siasa ndani ya mipaka ya nchi yetu vinanzishwaje.

Sijui ulikuwa unalenga nini hasa kwa kuanzisha hii hoja ila nadhani tuhimizane humu jamvini ili hii kasumba ya porojo, character assissination, mudslinging na cheap political scoring tactic zikome. Ni aibu mno kwetu sisi watanzania.

Mwisho ningekusihi sana ndugu yangu GeniusBrain na wengine wenye maoni kama yako watambue kuwa watanzania wana akili timamu na wana uwezo wa kutenganisha mema na mazuri. Maneno kama...chama fulani kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi' ni madharau kwa watanzania wenzako (insult to our intelligency).Tabia ya kikoloni hii.

Tutumie hili jukwaa kwa kuongelea mambo ya msingi na yenye tija tuache kuaniaka umbumbu wetu hadharani.

why waste your precious time with a fool. people may not notice the difference
 
Back
Top Bottom