Umesahau Kuwa Akina Mzee Mbowe na akina Mtei ndo walikuwa wakimlipia Nyerere nauli za Kwenda Uingereza Kudai Uhuru????
Mtu Kutofautiana Na Nyerere si Kukosa Adabu.....Kama ni Kukosa Adabu alikosa Mkapa na Kikwete ambao walivunja Misingi ya Azimio la Arusha alilolisimamia Nyerere na wao wakaanza kufanya Biashara wakiwa Ikulu na Kutetea Mafisadi
Mh! are u mentally fit....?
Ebo! mie mgeni hapa, sikujua humu ndani kumejaa 'characters' wa dizaini hii!
pole sana wewe sijui nani brain vile, walokutuma wamekukaanga, think twice and come again, CDM itazidi kuwashika sana tu, kama wanaoifadhili ni watu wa nje kama unavyodai basi wanawatakia mema watanzania!
Jibu hoja acha bla bla ! sio ya kweli hayo
CDM itazidi kusonga mbele mtajitahdi kugundua mbinu za kukidhoofisha lakini mtaishia kupewa majibu na ma great thinkers.
Kipi bora wenye magamba ambao wameisha jivua magamba au kuwa chama cha vibaraka wa nje ? kuishi kwingi ni kuona mengi
Watakuona huna akili,coz agenda nzima ya uanzishwaji vyama vingi nchini ilikua ya IMF,unakitajaje chama kimoja kwamba kilianzishwa na IMF,au hujui kama pia Re-structuring ya miaka ya themanini pia ilikua requirement ya IMF,na ikatekelezwa na CCM!
HahahaWalivaaje GAMBA! by the way linapotoka gamba huja jipya ....once Magamba then Magamba for good....
Walivaaje GAMBA! by the way linapotoka gamba huja jipya ....once Magamba then Magamba for good....
chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha.
Kauli ya Mukama
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
Mkuu huu ukibaraka wa IMF unaendeleaje ? kumbe kuna bwana nje anawalisha, na kuwavisha !
Si unaona watoa jibu jepesi kwa hoja nzito. Tunashukuru kwa kukubaliana na thread yenyewe
Jibu hoja acha bla bla ! sio ya kweli hayo
Gamba la bomoa ustawi wa nchi! Wenye Gamba wauwawe.....na itikadi zao
Mkuu huu ukibaraka wa IMF unaendeleaje ? kumbe kuna bwana nje anawalisha, na kuwavisha !