tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Vyama vya upinzani vilianzishwa nchini Tanzania kwa mujibu wa sheria mwaka 1992.
Katibu mkuu wa CCM bw. Wilson Mukama anapotamka kwamba vyama vya upinzani vilianzishwa kwa shinikizo ana maana gani?
Akumbuke kwamba wanachama walioko kwenye vyama vya upinzani ni watanzania kama walioko ndani ya CCM.
Inawezekana pia CCM ikawa chama cha upinzani, na itakapotokea ikawa hivyo CCM nayo itakuwepo kwa shinikizo kutoka nje ya nchi?
Katibu mkuu wa CCM bw. Wilson Mukama anapotamka kwamba vyama vya upinzani vilianzishwa kwa shinikizo ana maana gani?
Akumbuke kwamba wanachama walioko kwenye vyama vya upinzani ni watanzania kama walioko ndani ya CCM.
Inawezekana pia CCM ikawa chama cha upinzani, na itakapotokea ikawa hivyo CCM nayo itakuwepo kwa shinikizo kutoka nje ya nchi?