GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Ehheee!!Hoja ipi,hujui hata hoja,jamani.huu unaitwa uzushi!!
Uzushi upi sasa, kusema CDM ni chama cha IMF na ndio wanao kifadhili
Ehheee!!Hoja ipi,hujui hata hoja,jamani.huu unaitwa uzushi!!
CDM,CUF,NCCR wakiwa ni vibaraka wa yeyote yule, tunachotaka ni siasa na demokrasia ya ukweli..
hakuna kitu kinachonikera kama mbinu na mikakati ya kuua vyama pinzani. Huu ni mpango mbaya kabisa, kwani siku CDM na vyama vingine vitakapokufa ndo itakuwa tumepata demokrasia ya kweli??
Demokrasia inahitaji kukuzwa ili kuwe na uwajibikaji wa kutosha kwa chama kilichopo madarakani. Ningefurahi kama vyama vya upinzani vingeendelea kupewa misaada ya kila hali ili vifanye shughuli, kuliko mipango ya sasa ya kuviteketeza ili CCM ibaki madarakani..Demokrasia haiendelei kwa kuvifanya vyama vingine vikose uhai..(haina maana)
Hakuna asiyetaka vyama vya upinzani viendelee, ila sasa angali kama hivi vinavyo anzishwa na mataifa ya nje ndivyo vyama watanzania wanavitaka ? wanajimaliza wao wenyewe mkuu
Who is Nyerere by the way mpaka watu wote lazima wakubaliane na mawazo yake?mbona wengi walishampinga hadharani na alikuwa anawapa ubalozi ili wawe nje ya nchi na wasishughulike na siasa za ndani?naye ni mtu ambaye alikuwa na haki ya kuwa challenged,
Twende kwenye hoja Mzee Mtei walitofautiana na Nyerere kuhusu kushusha thamani ya shilling na yeye km waziri wa fedha/gavan akagoma mbona mwaka jana China wametakiwa kushusha thamani ya fedha yao nao wakagoma na wao ni wa soshalisti?
Mara baada ya kutofautiana Mtei alifanya nini?aliiandika barua ya kujiuzulu na sio kung'ang'ania madaraka na kutekeleza sera usizo ziamini, leo viongozi wangapi wa CCM wanatekeleza yale wasio ya amini?Mfumo wa vyama vingi vilipoanzshwa zaidi ya miaka 15 toka Mtei kujiuzulu akaanzisha CDM ili apate fursa ya kutekeleza yale aliyo ya amini.
1995 Mrema alipokuwa juu Nyerere alisema msitishike nae huyo bali kuweni Makini na kina Mtei ndio tishio kwa CCM na hiyo ni 1995 ambapo wachahce waliifahamu na kuijua CDM, wengi walimwamini Mrema na NCCR lakini kwa Nyerere CDM ilibaki tishio kwake
Nadhani una taahira ya ubongo, hahahaaaaaaaaaaa chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha.
Kauli ya Mukama
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
'………………………chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha'.
Kauli ya Mukama
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
Ebo! mie mgeni hapa, sikujua humu ndani kumejaa 'characters' wa dizaini hii!
Kipi bora wenye magamba ambao wameisha jivua magamba au kuwa chama cha vibaraka wa nje ? kuishi kwingi ni kuona mengi
Jamii Forums inasomwa na watu wengi sana ndani na nje ya Tanzania. Na wasomaji hawa wapo watanzania na wasio watanzania ili mradi wanaelewa kiswahili. Hili jukwaa linatupa nafasi nzuri ya kutoa maoni na michango ambayo kimsingi ni ya kujenga taifa hata kama ni kukosoa basi ni constructive criticism. Na ndio sababu watu wanasema ni jukwaa la 'great thinkers'.
Vyama vya siasa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vipo kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi. Na vyote vinasajiliwa baada ya kutimiza masharti yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria husika. CCM, CUF, CHADEMA, NCCR-Mageuzi, TLP, NLD, DP, Demokrasia Makini vyote hivi vimesajiliwa baada ya kutimiza masharti yaliwekwa.(wasiliana na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kupata nakala). niishie hapo.
IMF - nadhani unaongelea International Monetary Fund ni taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na maswala ya kifedha na uchumi kwa nchi wanachama. Narudia - nchi wanachama. IMF wanachama wake ni NCHI na sio chama au kikundi kimoja kimoja. NCHI.
@GeniusBrain, naomba usome hii "IMF is an organization of 187 countries, working to foster global monetary cooperation, secure financial stability, facilitate international trade, promote high employment and sustainable economic growth, and reduce poverty around the world".
Tanzania ni mwanachama wa IMF na ndio maana tumekuwa tumapata mikopo huko. CHADEMA hata CCM au chama kingine chochote hakiwezi kuwa mwanachama wa IMF hata kama wangetaka iwe hivyo.
Nirudi kwenye point yangu ya msingi, Ndugu yangu GeniusBrain hoja yako si tu ni aibu kwako binafsi bali pia inatuibisha watanzania wote (milioni 42 na ushee), kwamba, hatujui maudhui na kazi za taasisi za kimataifa kama IMF. Na mbaya zaidi hatujui hata vyama vya siasa ndani ya mipaka ya nchi yetu vinanzishwaje.
Sijui ulikuwa unalenga nini hasa kwa kuanzisha hii hoja ila nadhani tuhimizane humu jamvini ili hii kasumba ya porojo, character assissination, mudslinging na cheap political scoring tactic zikome. Ni aibu mno kwetu sisi watanzania.
Mwisho ningekusihi sana ndugu yangu GeniusBrain na wengine wenye maoni kama yako watambue kuwa watanzania wana akili timamu na wana uwezo wa kutenganisha mema na mazuri. Maneno kama...chama fulani kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi' ni madharau kwa watanzania wenzako (insult to our intelligency).Tabia ya kikoloni hii.
Tutumie hili jukwaa kwa kuongelea mambo ya msingi na yenye tija tuache kuaniaka umbumbu wetu hadharani.
Kumbuka ni Mwl aliyetamka kuwa" CHADEMA VEMA" Uongo wako unatisha.Tumia muda wako vema kuliko kuongopea umma wa wa Tanzania.
Nyerere alitofautiana hata na walio ndani ya chama chake................... Na ndiyo maana wengine aliwawekea vikwazo kuwania urai kwa vile alijuwa watatakiwa kulipa fadhira chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha.
Kauli ya Mukama
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
Na mwalimu huyo huyo aliisema ' Rais na kiongozi bora atatoka CCM'. Na kauli nyingine mwalimu alisema ' bila CCM imara nchi itayumba'. Mbona hakusema maneno hayo kui refer CDM ? Tafakari na zingatia
Jamii Forums inasomwa na watu wengi sana ndani na nje ya Tanzania. Na wasomaji hawa wapo watanzania na wasio watanzania ili mradi wanaelewa kiswahili. Hili jukwaa linatupa nafasi nzuri ya kutoa maoni na michango ambayo kimsingi ni ya kujenga taifa hata kama ni kukosoa basi ni constructive criticism. Na ndio sababu watu wanasema ni jukwaa la 'great thinkers'.
Vyama vya siasa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vipo kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi. Na vyote vinasajiliwa baada ya kutimiza masharti yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria husika. CCM, CUF, CHADEMA, NCCR-Mageuzi, TLP, NLD, DP, Demokrasia Makini vyote hivi vimesajiliwa baada ya kutimiza masharti yaliwekwa.(wasiliana na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kupata nakala). niishie hapo.
IMF - nadhani unaongelea International Monetary Fund ni taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na maswala ya kifedha na uchumi kwa nchi wanachama. Narudia - nchi wanachama. IMF wanachama wake ni NCHI na sio chama au kikundi kimoja kimoja. NCHI.
@GeniusBrain, naomba usome hii "IMF is an organization of 187 countries, working to foster global monetary cooperation, secure financial stability, facilitate international trade, promote high employment and sustainable economic growth, and reduce poverty around the world".
Tanzania ni mwanachama wa IMF na ndio maana tumekuwa tumapata mikopo huko. CHADEMA hata CCM au chama kingine chochote hakiwezi kuwa mwanachama wa IMF hata kama wangetaka iwe hivyo.
Nirudi kwenye point yangu ya msingi, Ndugu yangu GeniusBrain hoja yako si tu ni aibu kwako binafsi bali pia inatuibisha watanzania wote (milioni 42 na ushee), kwamba, hatujui maudhui na kazi za taasisi za kimataifa kama IMF. Na mbaya zaidi hatujui hata vyama vya siasa ndani ya mipaka ya nchi yetu vinanzishwaje.
Sijui ulikuwa unalenga nini hasa kwa kuanzisha hii hoja ila nadhani tuhimizane humu jamvini ili hii kasumba ya porojo, character assissination, mudslinging na cheap political scoring tactic zikome. Ni aibu mno kwetu sisi watanzania.
Mwisho ningekusihi sana ndugu yangu GeniusBrain na wengine wenye maoni kama yako watambue kuwa watanzania wana akili timamu na wana uwezo wa kutenganisha mema na mazuri. Maneno kama...chama fulani kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi' ni madharau kwa watanzania wenzako (insult to our intelligency).Tabia ya kikoloni hii.
Tutumie hili jukwaa kwa kuongelea mambo ya msingi na yenye tija tuache kuaniaka umbumbu wetu hadharani.
chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha.
Kauli ya Mukama
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk