Amejirusha Mzee kivuko kilikuwa kishaondokaAmejirusha au kivuko kimeondoka ghafla na kumwacha?
HujaelewekaAmejirusha Mzee kivuko kilikuwa kishaondoka
CHAI..... utasikia niliogopa kupiga pichaMDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Usijaj mkuu labda alikuwa na mental issues mkuuSasa mtu kajirusha kwa akili zake wajisumbue ili iweje?
Hujaeleweka
Sio sababu,kuokolewa ni haki yakeUsijaj mkuu labda alikuwa na mental issues mkuu
Acha ushamba dogo, usilete upuuzi kwenye kila kitu. Kama ubongo wako umejaa mavi uwe unatuliaCHAI..... utasikia niliogopa kupiga picha
ni ngumu afe😂 ,atapiga mbizi mpaka darajani hali ikiwa mbayaR.I.P in advance
AtaogeleaMDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Nimeshangaa wameshindwa kumuokoa kweli??,hata kama ana matatizo ya akili.Tukisema ni taifa lenye laana mtatushangaa
Yaani wameshindwa hata kumtupia lifebuoy jamaa
Laana za kutafuta tu hizi yaani mshkaji umeshindwa hata kuongea unafungua uzi sasa na picha lazima kapigwa tu maana ndio msaada wengi wanaouweza