kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Greetings
Mara nyingi nimeona watu wengi wakihudhuria interview zaid ya kumi na hawapati kazi na wakati huo kuna wengine wanahudhuria interview moja tu na wanapata kazi. nikawa najiuliza maswali mengi na kutokupata majibu sahihi. wakati mwingine nilifikiri labda ni mkono wa mtu ndo maana wengine wanashindwa kupata kazi.
Naomba ufafanuzi kutoka kwa wanajamii. Hivi inawezekana mtu akawa na vigezo vyote vya kupata kazi na akawa amewashinda wengine lakini siku ya interviewkutokana na uwoga na wasiwasi akashindwa kufanya vizuri katika ule usaili. Je kwa kigezo hicho tu ndo kinaweza kumfanya mtu huyo kukosa kabisa kazi hiyo
Mara nyingi nimeona watu wengi wakihudhuria interview zaid ya kumi na hawapati kazi na wakati huo kuna wengine wanahudhuria interview moja tu na wanapata kazi. nikawa najiuliza maswali mengi na kutokupata majibu sahihi. wakati mwingine nilifikiri labda ni mkono wa mtu ndo maana wengine wanashindwa kupata kazi.
Naomba ufafanuzi kutoka kwa wanajamii. Hivi inawezekana mtu akawa na vigezo vyote vya kupata kazi na akawa amewashinda wengine lakini siku ya interviewkutokana na uwoga na wasiwasi akashindwa kufanya vizuri katika ule usaili. Je kwa kigezo hicho tu ndo kinaweza kumfanya mtu huyo kukosa kabisa kazi hiyo