Mtu Anapochemsha kwenye Interview ndo kusema hawezi kufaa kwenye hiyo post

Umepewa kujibu swali unauliza upupu ila mitusi inakutoka mdomoni kana kwamba break. Inteview nyingi za bongo ni uzoefu, unaweza kuja na PhD zako bado wakakumwaga kwa sababu huna uzoefu, nikaja mie karume kenge na kidploma changu nikapewa kazi.

Hii inatokana na makampuni yenyewe yalimhitaji nani na kipi walitaka kutoka kwa mlengwa. Mimi kama mimi na uzoefu wangu wa muda mfupi naweza kusema hata bahati nayo imo kwenye kufanikisha mambo fulani.

Hiyo ya kujuana nayo ipi ila sehemu na sehemu. Kusoma au kuwa na degree si kigezo cha wewe kuomba kazi ukapata haraka au ukaabudiwa kama wengi wanavyofikiri.
Wale wote mnaofanya interview nyingi msikate tamaa siku moja itajibu tu, endelea kuomba kila unapoona kazi inakufaa.
 
Yes mara nyingi watu hawapati kazi haraka kwa kuwa kwa sasa competency ni kubwa!! watu wengi wako shapu kujibu maswali na kujiamini katika kila swali atakaloulizwa. Pia nashauri yeyote ambaye ameshakutana na hali hii ajitahidi kuuliza wenzie ambao wamepata ajira kirahisi bila kuwa interviewed maranyingi bila mafanikio ili kupata mbinu mbalimbali za kuweza kutumia ili na wewe ubahatike.

Pia wajitahidi kusoma hata kozi ndogondogo hata kama duration ni miezi miwili na kuendelea sio mbaya, hii inasaidia kwa sababu yule mtu au kampuni inayotaka kukuajiri inataka mtu ambaye ni multipurpose ili kupunguza gharama za kuajiri watu wengi wakati kuna mtu mmoja tu anayeweza kufanya kazi zaidi ya moja na kwa muda mfupi.

Acha kuchagua kazi!!! wewe jitose kwenye kazi yeyote itakayotoka ili hata ukiajiriwa uwe bize ilihali ukiwa unatafuta kazi nyingine ambayo unapendezwa nayo.

Huu ni mtizamo wangu!!!!!!!!!!!
 
Waajiri wengine hawa-mind paper za mtu, wanajali sana presentation, kama walivyosema hapo juu, mwenye PhD aweza kukosa na mwenye Diploma akapata. Competence inachukua nafasi kubwa na hasa kazi sio technical sana. Nimewahi kushuhudia mtu akipata kazi nzuri, mashirika ya wageni, yaani, hawakuitisha vyeti vyake mpaka akaanza kazi, ni copies tu zilienda nazo for record purposes.

Ktk interview yenyewe wengi hukosea maswali ya msingi; Mfano, mtu awezaulizwa swali, why dd u apply, mtu akajibu kwamba labda ni kwa vile amesomea kitu hicho, lakini kumbe ukweli wa mambo mwenye shida ni mwajiri na siyo mtafutaji.

Mfano mwingine, mtu anaulizwa, kasoro zako ni nini? Wengi wanadhani hawana, kitu ambacho sio kweli, kila mtu ana udhaifu wake kazini. Nashauri watu wasome hata techniques za interview kwenye mtandao zipo. Mtu ukijiandaa na ukajiamini, chances za kupata zipo.
 
well kingine nacho kinachangiwa na wanaoconduct interviews kuwa na uwezo finyu ukiwafananisha na wale wanaowainterview...
 
To me kuchemsha interview does not mean hujui kazi!
Inawezekana ukawa hukuwa njema that day.
To me ata vyeti vizuri are mere certificates what matters is if you can deliver!
 
To me kuchemsha interview does not mean hujui kazi!
Inawezekana ukawa hukuwa njema that day.
To me ata vyeti vizuri are mere certificates what matters is if you can deliver!

kweli kabisa inategemea na siku, kwa mfano bwana ABDULHALIM angeingia kwenye interview na mood kama huo lazima angepigwa chini
 
taratibu jamani.........jf isije pasuka vipande vipande kama itakavyokuwa kwa ccm
Hivi wewe ni nani unayeamua maoni yepi ni ya maana na yepi si ya maana? Kwani umelazimishwa kusoma ninachoandika? Unachangia kulipia bandwidth? au kiherehere tu kama binti aliyevunja ungo?
 
of course kufeli interview inabidi usipewe kazi maana interview nyingi huwa unaulizwa maswali ambayo a normal person who has been to school can not fail to answe them.....shida nnayoiona ni kwamba
''usawa haupatutikani kwa mzani kuwa sawa......ila inategemea na mpimaji mwenyewe''
 
kwa mimi mtazamo wangu hapana,kwanza kwenye interview sometime inategemea siku hiyo uko vp,alafu ni kitu cha mda mchache sana ambacho mtu anataka kutumia kukufaham wewe kiundani.
 
Umepewa kujibu swali unauliza upupu ila mitusi inakutoka mdomoni kana kwamba break. Inteview nyingi za bongo ni uzoefu, unaweza kuja na PhD zako bado wakakumwaga kwa sababu huna uzoefu, nikaja mie karume kenge na kidploma changu nikapewa kazi.

Hii inatokana na makampuni yenyewe yalimhitaji nani na kipi walitaka kutoka kwa mlengwa. Mimi kama mimi na uzoefu wangu wa muda mfupi naweza kusema hata bahati nayo imo kwenye kufanikisha mambo fulani.

Hiyo ya kujuana nayo ipi ila sehemu na sehemu. Kusoma au kuwa na degree si kigezo cha wewe kuomba kazi ukapata haraka au ukaabudiwa kama wengi wanavyofikiri.
Wale wote mnaofanya interview nyingi msikate tamaa siku moja itajibu tu, endelea kuomba kila unapoona kazi inakufaa.

Jamani hizi fikra hizi ndo zinatucost. Ukweli ni kwamba Elimu haina substitute. You either go to school or go to school. Increasingly hata nchi zetu za kijamaa za bongo..elimu is slowly but surely taking its rightful place. Yale ya zamani..kwamba una diploma ukapata kazi na kumuacha mwenye degree...ndugu yangu yanaisha na akina Kingunge. Ofcourse old habits die hard...but surely..usitegemee kuwa na diploma..eti utaipata kazi..wa masters wamuache..labda kama employer ni mjomba wako..na kampuni ni ya kwake...I doubt hata kama yeye atafanya hivyo...

Lakini for sure..naamini mtu mwenye alimu yake..anastahili kuwa rewarded.
Ukiwa na Bachelor, Masters or PhD si guarantee kwamba utapata kila kazi unayoiomba, ila kutokuwa na hivyo vyeti ni gurantee kwamba kuna kazi huwezi omba kamwe.

Kwa nchi kama bongo..asikwambie mtu bwana..bila elimu ni vigumu kusonga mbele. Ni vyema tukawapa moyo vijana wasome..hata kama wanataka kusoma mpaka PhD......Gone are the days kwamba eti ukisoma mpaka PhD lazima ukawe mwalimu..siku hizi kuna mikazi kibao ya akina World Bank au IMF..kama huna PhD hata application usihangaike kutuma..life is changing so faster..na ni vyema na sisi waafrika tukainvest katika elimu..tuache kuridhika na hizi diploma zetu za Mzumbe na kwingineko..

Kuhusu swali la interview..siku hizi hata waajiri wamebadilika..wamegundua kwamba inawezekana mtu asiwe na uwezo wa kuongea vyema....lakini akawa na uwezo mzzuri tuu.... kwa hiyo unapewa oral na written..sasa kama ukishindwa oral..ukafaulu vizuri written..it all depends on the employer..anataka mtu gani....Ila kwa uzoefu wangu..written test siku hizi iko more popular na ukiifaulu..you are halfway towards your first paycheck.
 
Jamani hizi fikra hizi ndo zinatucost. Ukweli ni kwamba Elimu haina substitute. You either go to school or go to school. Increasingly hata nchi zetu za kijamaa za bongo..elimu is slowly but surely taking its rightful place. Yale ya zamani..kwamba una diploma ukapata kazi na kumuacha mwenye degree...ndugu yangu yanaisha na akina Kingunge. Ofcourse old habits die hard...but surely..usitegemee kuwa na diploma..eti utaipata kazi..wa masters wamuache..labda kama employer ni mjomba wako..na kampuni ni ya kwake...I doubt hata kama yeye atafanya hivyo...

Lakini for sure..naamini mtu mwenye alimu yake..anastahili kuwa rewarded.
Ukiwa na Bachelor, Masters or PhD si guarantee kwamba utapata kila kazi unayoiomba, ila kutokuwa na hivyo vyeti ni gurantee kwamba kuna kazi huwezi omba kamwe.

Kwa nchi kama bongo..asikwambie mtu bwana..bila elimu ni vigumu kusonga mbele. Ni vyema tukawapa moyo vijana wasome..hata kama wanataka kusoma mpaka PhD......Gone are the days kwamba eti ukisoma mpaka PhD lazima ukawe mwalimu..siku hizi kuna mikazi kibao ya akina World Bank au IMF..kama huna PhD hata application usihangaike kutuma..life is changing so faster..na ni vyema na sisi waafrika tukainvest katika elimu..tuache kuridhika na hizi diploma zetu za Mzumbe na kwingineko..

Kuhusu swali la interview..siku hizi hata waajiri wamebadilika..wamegundua kwamba inawezekana mtu asiwe na uwezo wa kuongea vyema....lakini akawa na uwezo mzzuri tuu.... kwa hiyo unapewa oral na written..sasa kama ukishindwa oral..ukafaulu vizuri written..it all depends on the employer..anataka mtu gani....Ila kwa uzoefu wangu..written test siku hizi iko more popular na ukiifaulu..you are halfway towards your first paycheck.

well said Mkuu.............
tusipoangalia (which is the case now) hizi mediocrity zinatuua na zinaendelea kutuua.........suprisingly wengine wanazikumbatia.......
 
kwa mimi mtazamo wangu hapana,kwanza kwenye interview sometime inategemea siku hiyo uko vp,alafu ni kitu cha mda mchache sana ambacho mtu anataka kutumia kukufaham wewe kiundani.

Lakini kuna mambo hatuyaangalii hapa jamani. Mfano mlioomba mlikuwa 10 wenye pass mbalimbali. Wakawaita nyie wenye First class 4 kwaajili ya interview kwaajili ya nafasi moja. Wewe ukashindwa kujieleza(eti siku hiyo umeamka vibaya etc), wenzio wakajielezea vizuri lakini mmoja wao kaongea the best pale. Kwanini wamwache eti kisa wewe siku hiyo hukuamka vizuri? Au watawafikiria wale wengine ambao hawakufanya vizuri kwa kigezo kipi? Kama vyeti wote mpo sawa. Labda kama wewe wanakujua sana,napo sio fair kwa wale wasiowatambua! Tujitahidi tuongeze uwezo wetu wa kucommunicate no way!
 
Greetings
Mara nyingi nimeona watu wengi wakihudhuria interview zaid ya kumi na hawapati kazi na wakati huo kuna wengine wanahudhuria interview moja tu na wanapata kazi. nikawa najiuliza maswali mengi na kutokupata majibu sahihi. wakati mwingine nilifikiri labda ni mkono wa mtu ndo maana wengine wanashindwa kupata kazi.

Naomba ufafanuzi kutoka kwa wanajamii. Hivi inawezekana mtu akawa na vigezo vyote vya kupata kazi na akawa amewashinda wengine lakini siku ya interviewkutokana na uwoga na wasiwasi akashindwa kufanya vizuri katika ule usaili. Je kwa kigezo hicho tu ndo kinaweza kumfanya mtu huyo kukosa kabisa kazi hiyo

Tatizo la waombaji kazi wa Kitanzania na hasa waliopata elimu Tanzania hawajui kujieleza wapo pia ambao hawajui hata kazi wanazoomba. Siku hizi elimu ujuzi ni mali. Wengi hawajui au hawawezi kujiuza kwenye soko la ajira. Kwa mfano mtu anaulizwa unaomba kazi ya ukarani, ukiwa kama karani utaifanyia nini kampuni yetu na kwa mchango wako huo unatarajia kulipwa mshahara kiasi gani. Wengi wanaishia kusema nitafanya kazi kwa juhudi bidii na maarifa na kiasi chochote cha mshahara mtakachonipangia. Ukishawafikisha hapo makampuni mengi yanakuona pumba. Wanapenda zaidi uwaeleze kwamba hiyo kazi uliyoomba unaijua na ina umuhimu gani katika kampuni husika na ukiajiriwa utasaidiaje kuinua ufanisi wa kampuni husika.
 
Kama usaili wa maneno hautoshi basi japo upewe muda na utainiwe kwa vitendo ndipo ijulikane unaweza au huwezi kufanya kazi kwa kiasi gani. Interview ni propaganda ambayo inazaa watemaji maneno badala ya watenda kazi.
 
Back
Top Bottom