Mimi ni mwanachadema tangu 2005 na ninakipenda sana chama chetu makini chadema.kama wadau na wenye chama tunachukuliaje jambo alilofanya mh.lema kwa kukataa dhamana na kukubali kuingia gerezani?
Mimi ni mwanachadema tangu 2005 na ninakipenda sana chama chetu makini chadema.kama wadau na wenye chama tunachukuliaje jambo alilofanya mh.lema kwa kukataa dhamana na kukubali kuingia gerezani?
Unajua hii issue inachekesha sana, watu wakiuliza kaenda jela kwa kosa gani hakuna kosa yeye mwenyewe ndio kajipeleka kakataa dhamana..
Inabidi wakampime akili siku akitoka jela.
Lema sio mtu wa kwanza kushitakiwa muacheni akae jela hata miaka 10 manyampara watamtunza tu.
Watampa anachotaka
Mimi ni mwanachadema tangu 2005 na ninakipenda sana chama chetu makini CHADEMA. Kama wadau na wenye chama tunachukuliaje jambo alilofanya Mh. Lema kwa kukataa dhamana na kukubali kuingia gerezani?
sasa kama katoa uamuzi wa kwenda nao hao walionyimwa mdhamana ni wakati gani aliandika huo waraka?wadau mkumbuke kuwa LEMA hakukamatwa peke yake
walikuwa wengi na dhamana wakapewa baadhi
wengine wakanyimwa ndipo walipoamua kwenda wote magereza
kamanda yuko sahihi kwani yeye ndio chanzo cha kukamatwa wenzake.
Mimi ni mwanachadema tangu 2005 na ninakipenda sana chama chetu makini CHADEMA. Kama wadau na wenye chama tunachukuliaje jambo alilofanya Mh. Lema kwa kukataa dhamana na kukubali kuingia gerezani?