kumbe lema aliyaona haya mapema
soma baadhi ya vifungu katika hotuba yake bungeni
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/158997-full-text-hotuba-ya-lema-bungeni.html
Mheshimiwa Spika, Kambi rasmi ya Upinzani inawataka Askari polisi wote wa nchi hii, wasikubali kutumiwa vibaya kukandamiza demokrasia na haki za wananchi, kwa maslahi ya kukibeba chama fulani cha siasa na badala yake watende haki kwa manufaa ya Watanzania wenzao. Wajue kuwa Watanzania wanaowafyatulia risasi, mabomu ya machozi na kuwapiga virungu, ni Watanzania wenzao. Ni sawa na Baba zao, Mama zao, Kaka zao au wadogo zao, kwa hiyo wasikubali kutumika vibaya kuua au kukandamiza ndugu zao. Badala ya kufanya hivyo, tunawashauri waishinikize serikali hii inayowatumia vibaya, iboreshe mishahara na maslahi yao
soma baadhi ya vifungu katika hotuba yake bungeni
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/158997-full-text-hotuba-ya-lema-bungeni.html
Mheshimiwa Spika, Kambi rasmi ya Upinzani inawataka Askari polisi wote wa nchi hii, wasikubali kutumiwa vibaya kukandamiza demokrasia na haki za wananchi, kwa maslahi ya kukibeba chama fulani cha siasa na badala yake watende haki kwa manufaa ya Watanzania wenzao. Wajue kuwa Watanzania wanaowafyatulia risasi, mabomu ya machozi na kuwapiga virungu, ni Watanzania wenzao. Ni sawa na Baba zao, Mama zao, Kaka zao au wadogo zao, kwa hiyo wasikubali kutumika vibaya kuua au kukandamiza ndugu zao. Badala ya kufanya hivyo, tunawashauri waishinikize serikali hii inayowatumia vibaya, iboreshe mishahara na maslahi yao