Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 252
Ndugu Wanajamii,
kuna Mtanzania mwenzetu mmiliki wa kampuni ya "Mambo Jambo (USA) "amekamatwa Jumapili ya tarehe 18/01 na kufikishwa mahakamani Alhamis ya tarehe 22/01 .Dhamana ya Mwenzetu huyo ni $ 1.7m.Bado haifahamiki wazi makosa ya mwenzetu huyo,Watu wa Ubalozini wamefahamishwa Tukio hilo,Kwa ndugu mliopo DC na maeneo ya karibu,mnaweza kufuatilia kwa ukaribu habari za ndugu huyo,kama kuna chochote tufamishane kwa njia hii
kuna Mtanzania mwenzetu mmiliki wa kampuni ya "Mambo Jambo (USA) "amekamatwa Jumapili ya tarehe 18/01 na kufikishwa mahakamani Alhamis ya tarehe 22/01 .Dhamana ya Mwenzetu huyo ni $ 1.7m.Bado haifahamiki wazi makosa ya mwenzetu huyo,Watu wa Ubalozini wamefahamishwa Tukio hilo,Kwa ndugu mliopo DC na maeneo ya karibu,mnaweza kufuatilia kwa ukaribu habari za ndugu huyo,kama kuna chochote tufamishane kwa njia hii