Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
- Thread starter
- #41
Mkuu hapo nakubaliana nawe.Tunao wasomi kibao ambao ni "watukuka" katika taaluma zao lakini toka waingie ndani ya siasa(si-hasa) wamekuwa ndivyo sivyo!Kwa maoni yangu watu wangejikita katika taaluma zao hata kama hazilipi haraka kama siasa ambayo baadaye huwadhalilisha sana.
Mfano Prof.Sarungi kafikia hatua ya kudhalilishana na wapinzani wake kule Rorya,aibu iliyoje!
Mkuu,
Kumbe SIASA inamaanisha SI-HASA?
Kazi kweli kweli.