MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Ni mweli usemayo MwanaHabari ila kama unasoma vizuri sidhani kama kuna sehemu amesema wajinga ndo wawe wanasiasa! Si amesema wanasiasa wanatakiwa wajiendeleze kimasomo no?
Nafikiri mwandishi amelisema /andika hili kwa kuwa ameona kasi ya wasomi kukimbilia kwenye siasa imekuwa kubwa kiasi cha kutishia profession hii. Mimi nafikiri wasomi wetu wangebaki kuwa wasomi ili waweze kuwakosoa wanasiasa wetu pale wanapokosea after all hilo ndilo jukumu lao kwa wananchi apart from lile la kutusomesha baadhi yetu au? Maana msomi akiwa mwanasiasa atakosolewa na nani?
Nafikiri mwandishi amelisema /andika hili kwa kuwa ameona kasi ya wasomi kukimbilia kwenye siasa imekuwa kubwa kiasi cha kutishia profession hii. Mimi nafikiri wasomi wetu wangebaki kuwa wasomi ili waweze kuwakosoa wanasiasa wetu pale wanapokosea after all hilo ndilo jukumu lao kwa wananchi apart from lile la kutusomesha baadhi yetu au? Maana msomi akiwa mwanasiasa atakosolewa na nani?