Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
huyu ndio alisimamia uchaguzi wa tarime baada ya kifo cha chacha Wangwe na chadema ikashinda huyu anatenda haki ila ccm watamchukia sana na ikiwezekana watamhamishia wilaya chovu kama nkasi au kasulu nk
Kasulu unaijua?Au unazungumza tu