PATOXIC
Member
- Nov 28, 2011
- 63
- 34
Mheshimiwa aliyesimamia uchaguzi wa Arumeru mashariki sio tu ameonyesha ukomavu tu. Huyujamaa alisimamia uchaguzi mdogo Tarime 2008 baada ya kifo cha Chaha Wangwe na haki ilitendeka tena chini ya Tension kubwa.
Nimemfuatilia kama angevulunda lakini huyu ni mwanamabadiliko aliyemo kwaenye mfumo dhalimu wa kinyonyaji. Akistaafu atakuwa mwenzetu. Kwasasa yuko levo nyingine.
Nimemfuatilia kama angevulunda lakini huyu ni mwanamabadiliko aliyemo kwaenye mfumo dhalimu wa kinyonyaji. Akistaafu atakuwa mwenzetu. Kwasasa yuko levo nyingine.