Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Mtu anapofanya vema ama kutenda haki katika mazingira ya dhuluma tunayoijua tz yetu basi ni vema na haki tukampongeza. Hongera Kagenzi kwa kutuachia Nassari atuongoze kwa hapo Arumeru Mashariki. maana ungeweza kwa kulazimishwa ama kutetea kibarua chako ukamtangaza Sioi hata kama kashindwa na kusababisha usumbufu wa kesi mahakamani na vurugu na uvunjifu wa amani kwa wana arumeru. Ila wewe umekuwa mzalendo zaidi na kutenda haki. Kula dala kwa hilo.