Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Kizuri kula na .......mhhh
i thought niko peke yangu...
Kizuri kula na .......mhhh
i thought niko peke yangu...
Kwa hiyo the Boss, uzuri ni relative term so huyo uliomwona mzuri akabaniwa na mashosti zake, itakujatokea na yeye akambania mwenzake alie mzuri zaidi yake and the stories goes on...!wabaya huwa tunawasaidia sometimes..lol
Sometimes it worksHuyo atakuwa zuzu, unless hakukupenda kabisa . yaani marafiki wanibanie kisa!!! we ungemwachia business card yako angekutafuta wakati yuko peke yake
Homenboy najua wewe haujawahi kukutana na matutaKwa hiyo the Boss, uzuri ni relative term so huyo uliomwona mzuri akabaniwa na mashosti zake, itakujatokea na yeye akambania mwenzake alie mzuri zaidi yake and the stories goes on...!
Hommie Yaeda moja hiii.....Halafu yule mzuri kama ulivyosema anakuwa kama zuzu kweli yaani wale wenzake ndio wanakuwa wana control maamuzi yake
Huyo atakuwa zuzu, unless hakukupenda kabisa . yaani marafiki wanibanie kisa!!! we ungemwachia business card yako angekutafuta wakati yuko peke yake
Acha kabisa hakuna kuingiliwa na mashosti kwenye plan B zanguNdio maana huwa nakupenda sababu unajiamini full makonfidensi
Copy that hommie kuna ishu mbili tatu zimenihold yaani baba paroko anacheza kwenye 18 na mimiHommie Yaeda moja hiii.....
Hayo mapenzi ya Tuition mie sikuyapitia bana....lol:A S 465:Homenboy najua wewe haujawahi kukutana na matuta
Mamito vp ulishawai kubaniwa na mashosti wako?:hug:
Watacomment atawasikiliza ila akirudi home yuko peke yake atakupigia tu kama amewaka kwakowe huwajui wasichana wengine...
unatoa bussiness card,wanapokea wenyewe kwa jinsi walivyo kimbelembele
au unaondoka tu
wanaanza comments negative kwa sababu ya wivu..tu
Hivi mashostito zako hasa yule mnene ana mashauzi kweli dahAcha kabisa hakuna kuingiliwa na mashosti kwenye plan B zangu
Ahaaa ahaa Preta mimi najua machalii huwa hawawezi kuweka ngumu:hug:...... he he.....bahati mbaya mimi sinaga mashost nina machalii tuu...sasa sijui na hii inakaaje
Gaga kwa hiyo umekiri kabsaaa kua mashosti wanatibua mambo some times sio?Acha kabisa hakuna kuingiliwa na mashosti kwenye plan B zangu
Kwa hiyo the Boss, uzuri ni relative term so huyo uliomwona mzuri akabaniwa na mashosti zake, itakujatokea na yeye akambania mwenzake alie mzuri zaidi yake and the stories goes on...!
Machaliii mashosti ama?:hug:...... he he.....bahati mbaya mimi sinaga mashost nina machalii tuu...sasa sijui na hii inakaaje
Machalii ndio kabisa huwa wanasikia wivu ukitongozwa hivo wanaweza hata kupiga mtu ngumi:hug:...... he he.....bahati mbaya mimi sinaga mashost nina machalii tuu...sasa sijui na hii inakaaje