Mpalisya Imbogo
Member
- Nov 16, 2009
- 53
- 9
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake. Na moyoni amemwacha Mungu. Maana atakuwa kama fukara nyikani. Hataona yanapotokea mema. Baali atakaa jangwani palipo ukame,katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. Wala hatazaa matunda. Mungu peke yake ndio ana uwezo wa kukutunza. hata upewe milioni kumi au ishirini hazitatosha. Mwanadamu haridhiki, kwasababu ameumbwa amtegemee Mungu. Mshahara haujawahi kutosha. jipangeni kumtegemea Mungu sio serikali haiwezi kuwalipa. Tafakari haya kwa makini