Matawi ya ccm hayo kitajifia cheyewe maana maburunguti wabunge ndio wamepewa wapitishe sheria kandamizi ya vyombo vya habariAmesahau kile cha Dovutwa.
Habari bila references huwa naona kama ni propaganda tu.Msajili wa vyama vya siasa Tanzania amevifutia Usajili wa kudumu vyama vifuatavyo baada ya zoezi la uhakiki kufanyika na kuona havikidhi CHAUSTA, APPT MAENDELEO NA JAHAZI ASILIA.
Jaji Mutungi amefikia uamuzi huo kutokana kuwa vyama hivyo vimekuwa na ofisi upande mmoja jambo ambalo ni kinyume na kifungu 10d ambacho kinakitaka chama cha siasa kuwa na ofisi pande mbili kwa maana ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Lakini sasabu ya pili ni kutokuwa na wanachama Zanzibar kwa mujibu wa kifungu 10b pia kushindwa kuweka wazi mapato na matumzi ya fedha za chama kama kifungu cha 14 (1) (a) kinavyoelekeza.
Habari bila references huwa naona kama ni propaganda tu.
Toa references kuhusu hiyo habari.
siyo chama cha mabulungutu?waifute na CUF!
Mbona sababu ni za kipuuzi namna hiyo?!!Msajili wa vyama vya siasa Tanzania amevifutia Usajili wa kudumu vyama vifuatavyo baada ya zoezi la uhakiki kufanyika na kuona havikidhi CHAUSTA, APPT MAENDELEO NA JAHAZI ASILIA.
Jaji Mutungi amefikia uamuzi huo kutokana kuwa vyama hivyo vimekuwa na ofisi upande mmoja jambo ambalo ni kinyume na kifungu 10d ambacho kinakitaka chama cha siasa kuwa na ofisi pande mbili kwa maana ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Lakini sasabu ya pili ni kutokuwa na wanachama Zanzibar kwa mujibu wa kifungu 10b pia kushindwa kuweka wazi mapato na matumzi ya fedha za chama kama kifungu cha 14 (1) (a) kinavyoelekeza.
Siku atakapokifuta chama cha CCM kinachoamini vurugu,fujo, mauaji na Ukandamizaji.Lini atakifuta CHADEMA na CUF?
Appt maendeleo ni MzirayWenyeviti wao akinanani wa hivyo vyama?
Unamtegemea Trump kuwanyosha wanaokuonea,atakunyosha wewe unayesubiri kufaniwa kila kitu na bahati mbaya zaidi kwako na wenye akili kama ya kwako hatawapokea mkivuruga huku na kuota ndoto ya kukimbilia kwake.Cha ajabubu msajili ajoan huo ufisadi wa ccm kajidai yupo busy lakini akiona cuf na cdm basi ungesikia natishia kuvifutia usajili. Hizi ndio tabia Trump asizozitaka lazima atawanyoosha hawa walaghai wa siasa.
matawi ya ccm au anahamia kabisa ccmAppt maendeleo ni Mziray
matawi ya ccm au anahamia kabisa ccmAppt maendeleo ni Mziray
chama cha maburungutuKile chama chetu cha puta je??