chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Cha Umma, Cha Ustaa, Fausta, Cherista..Chauma
Cha Umma, Cha Ustaa, Fausta, Cherista..Chauma
Nami nazipenda sana sera za Ha Shim Tukuyu..bora hashimu rungwe kapona
Siku kitakapofutwa chama cha majambaziLini atakifuta CHADEMA na CUF?
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania amevifutia Usajili wa kudumu vyama vifuatavyo baada ya zoezi la uhakiki kufanyika na kuona havikidhi CHAUSTA, APPT MAENDELEO NA JAHAZI ASILIA.
Jaji Mutungi amefikia uamuzi huo kutokana kuwa vyama hivyo vimekuwa na ofisi upande mmoja jambo ambalo ni kinyume na kifungu 10d ambacho kinakitaka chama cha siasa kuwa na ofisi pande mbili kwa maana ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Lakini sasabu ya pili ni kutokuwa na wanachama Zanzibar kwa mujibu wa kifungu 10b pia kushindwa kuweka wazi mapato na matumzi ya fedha za chama kama kifungu cha 14 (1) (a) kinavyoelekeza.
Habari hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.
Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.
Inabidi mwaka 2020 nimpgie kura,maana hata kampeni zake zinavutia sana.bora hashimu rungwe kapona