Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
- Thread starter
- #41
Baada ya uchaguzi kuisha matawi ya fisiem yanafutwa ,
Kwa hao jamaa ni tangu lini wapo na wanajulikana, mbona hawakushughulikiwa
wamekosa hela zakuwalipa hela walizokuwa wawalipe hayo matawi yao ndio wamepewa wabunge wa ccm kule Dodoma ili wapitishe sheria kandamizi ya Vyombo vya habari