Msajili wa vyama vya siasa Tanzania, avifutia usajili wa kudumu vyama vifuatavyo

Hivi NLD tulio isikia wakati wa uchaguzi bado ipo? Na nani kiongozi wake baada ya Mzee Makaidi?
 
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania amevifutia Usajili wa kudumu vyama vifuatavyo baada ya zoezi la uhakiki kufanyika na kuona havikidhi CHAUSTA, APPT MAENDELEO NA JAHAZI ASILIA.

Jaji Mutungi amefikia uamuzi huo kutokana kuwa vyama hivyo vimekuwa na ofisi upande mmoja jambo ambalo ni kinyume na kifungu 10d ambacho kinakitaka chama cha siasa kuwa na ofisi pande mbili kwa maana ya Tanzania Bara na Zanzibar.

Lakini sasabu ya pili ni kutokuwa na wanachama Zanzibar kwa mujibu wa kifungu 10b pia kushindwa kuweka wazi mapato na matumzi ya fedha za chama kama kifungu cha 14 (1) (a) kinavyoelekeza.
Baada ya uchaguzi kuisha matawi ya fisiem yanafutwa ,

Kwa hao jamaa ni tangu lini wapo na wanajulikana, mbona hawakushughulikiwa
 
waifute chadema ina chembe chembe za udikteta. ukionekana unataka uwenyekiti unaundiwa zengwe unafukuzwa. kagombea uraisi njaa imempiga kaenda kugombea ubunge. hahahahaahaha NHC hv ndo wapi vileee.....!!!!!!!!!!!!
 
waifute chadema ina chembe chembe za udikteta. ukionekana unataka uwenyekiti unaundiwa zengwe unafukuzwa. kagombea uraisi njaa imempiga kaenda kugombea ubunge. hahahahaahaha NHC hv ndo wapi vileee.....!!!!!!!!!!!!

mbona huongelei chama kinachogawa mabulungutu ya pesa kwa wabunge wake ili kipitishe sheria kandamizi za vyombo vya habari?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom