Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo kwenye same boat na CCM so vitazama kwa siku moja.Lini atakifuta CHADEMA na CUF?
LETENI TUME HURU YA KIMAHAKAMA USHAIDI UTALETWA[HASHTAG]#mboweleteushahidi[/HASHTAG]
Ha ha ha, kama ule ushahidi wa Olasiti?LETENI TUME HURU YA KIMAHAKAMA USHAIDI UTALETWA
MBONA MKISHAAMBIWA TUME HURU YA KIMAHAKAMA MNAAMISHA MAGILI?Ha ha ha, kama ule ushahidi wa Olasiti?
[HASHTAG]#mboweachausanii[/HASHTAG]MBONA MKISHAAMBIWA TUME HURU YA KIMAHAKAMA MNAAMISHA MAGILI?
Ndicho mnachokiwaza Africa kama tunakula mavi vileeeLini atakifuta CHADEMA na CUF?
wekeni tume huru tuweke ushaidi[HASHTAG]#mboweachausanii[/HASHTAG]
mwanae ndio mwenyekiti alichaguliwa na kamati kuu ya chama chaoHivi NLD tulio isikia wakati wa uchaguzi bado ipo? Na nani kiongozi wake baada ya Mzee Makaidi?
Shukrani mkuu.mwanae ndio mwenyekiti alichaguliwa na kamati kuu ya chama chao
Baada ya uchaguzi kuisha matawi ya fisiem yanafutwa ,Msajili wa vyama vya siasa Tanzania amevifutia Usajili wa kudumu vyama vifuatavyo baada ya zoezi la uhakiki kufanyika na kuona havikidhi CHAUSTA, APPT MAENDELEO NA JAHAZI ASILIA.
Jaji Mutungi amefikia uamuzi huo kutokana kuwa vyama hivyo vimekuwa na ofisi upande mmoja jambo ambalo ni kinyume na kifungu 10d ambacho kinakitaka chama cha siasa kuwa na ofisi pande mbili kwa maana ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Lakini sasabu ya pili ni kutokuwa na wanachama Zanzibar kwa mujibu wa kifungu 10b pia kushindwa kuweka wazi mapato na matumzi ya fedha za chama kama kifungu cha 14 (1) (a) kinavyoelekeza.
Lini atakifuta CHADEMA na CUF?
ukwama aka ukawa walshajifuta wenyewe walipomkarbisha fisadi lowasa,kwa maana hyo walkuwa ccm b.Hapa ACT pale Ccm 2020.Lini atakifuta CHADEMA na CUF?
karibu sanaShukrani mkuu.
waifute chadema ina chembe chembe za udikteta. ukionekana unataka uwenyekiti unaundiwa zengwe unafukuzwa. kagombea uraisi njaa imempiga kaenda kugombea ubunge. hahahahaahaha NHC hv ndo wapi vileee.....!!!!!!!!!!!!
Chama cha Mabulungutu aka CCMukwama aka ukawa walshajifuta wenyewe walipomkarbisha fisadi lowasa,kwa maana hyo walkuwa ccm b.Hapa ACT pale Ccm 2020.
Hakijawahi usajili?Angeanza na Ccm maana hakijawahi kuomba usajili